sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 724
- 877
Aisee isijekuwa ndio wewe unakula demu wangu.Daaah huu Uzi umeniingia asee, Niko katika wakati huo lkn mm sijapata mtoto bado, lkn huyu Dada kaolewa na anasema kabisa anataka mtoto na Mimi, nimewaza hivi mke wangu atakua na Hali gani? Daaah wanaume Mungu atusaidie sana.