Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,105
- 4,635
Yani acha tuu hiko kitu kitamtesa sana baadae akiwa mtu mzima daaaLakini ni dhambi kubwa sana Dokta amefanya kumbambika mtoto huyo jamaa anaeishi naye.
Hivi dhamiri za watu wengine zinakuwa zimekufa kabisa jamani?!