nini kilichokukwaza mbona neno la kawaida tu,nyie ndio mnaofanya hata mijadala ya mimea ipelekwe jukwaa la wakubwa MWE!dah!samahani kwa kuingilia uhuru wako ila hili neno kutajwa hapa hadharani limenikwaza kwakweli!!
Nyie wote ni watoto, sio huyo bf wako si wewe
wote nawashauri mkasome kwanza.
Wakasome nini kwanza?
ungeshauri vitabu gani hapa lol!vitabu.
aminata! we unataka msaada upi now??? maana mi sion cha kusaidiwa!!!kuna kijana mmoja ni single kwa madai yake koz cjamfahamu mda c mrefu so i cant tell more abt him ila kitu nilichojifunza kwake ni kama 1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani anatania mpaka pale ambapo hakufai kutania ........mnaongea mada nzito nzuri na deep yy anaingiza utani wa ajabu ambao hata hukuutegemea ndani ya mazungumzo2.hataki kua karibu na mm mda wote hata kama mm nikionesha kutaka kua naye3.ni muoga sana cjui anaogopa nn sasa mwe!4.nimeshamueleza v2 vyote ninavopenda na nisivopenda ila yy bado haelewi sasa sijui ni utoto unamsumbua au bado tu ni akili hazijapevuka mana mpaka nilishamuuliza kwani hujawai kuwa na mahusiano jamani ktk maisha yako ningekua sijawai kutiana naye pengine ningekua na wasiwasi ila yuko poa tu na so hot
kuna kijana mmoja ni single kwa madai yake koz cjamfahamu mda c mrefu so i cant tell more abt him ila kitu nilichojifunza kwake ni kama
1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani anatania mpaka pale ambapo hakufai kutania ........mnaongea mada nzito nzuri na deep yy anaingiza utani wa ajabu ambao hata hukuutegemea ndani ya mazungumzo
2.hataki kua karibu na mm mda wote hata kama mm nikionesha kutaka kua naye
3.ni muoga sana cjui anaogopa nn sasa mwe!
4.nimeshamueleza v2 vyote ninavopenda na nisivopenda ila yy bado haelewi sasa sijui ni utoto unamsumbua au bado tu ni akili hazijapevuka mana mpaka nilishamuuliza kwani hujawai kuwa na mahusiano jamani ktk maisha yako ningekua sijawai kutiana naye pengine ningekua na wasiwasi ila yuko poa tu na so hot
wanajiita masharobaro sijui achana nae huyo muuza sura
Si ndio mnaowapenda bana?[/QUOTE AHAAA MWANAUME ANAJUA KUMECHISHA CHUPI NA SOKSI NIMPELEKE WAPI MIMI MWANAUME UKAUZU BWANA AHAAA
Si ndio mnaowapenda bana?[/QUOTE AHAAA MWANAUME ANAJUA KUMECHISHA CHUPI NA SOKSI NIMPELEKE WAPI MIMI MWANAUME UKAUZU BWANA AHAAA
Nasikia mnapenda sana wabana pua moja...
Si ndio mnaowapenda bana?[/QUOTE AHAAA MWANAUME ANAJUA KUMECHISHA CHUPI NA SOKSI NIMPELEKE WAPI MIMI MWANAUME UKAUZU BWANA AHAAA
u cm to hav a soft spot kwa rude boyz na jamaa wasio-play Mr. nice guy.nakumbuka mitupio yako kwenye lile jukwaa la 'kule'!
Hapo underlined, uliharakia nini, unatiana unaporidhika na kila sekta mpenzi, hapo ndio uliharibu kabisa..pole sanakuna kijana mmoja ni single kwa madai yake koz cjamfahamu mda c mrefu so i cant tell more abt him ila kitu nilichojifunza kwake ni kama
1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani anatania mpaka pale ambapo hakufai kutania ........mnaongea mada nzito nzuri na deep yy anaingiza utani wa ajabu ambao hata hukuutegemea ndani ya mazungumzo
2.hataki kua karibu na mm mda wote hata kama mm nikionesha kutaka kua naye
3.ni muoga sana cjui anaogopa nn sasa mwe!
4.nimeshamueleza v2 vyote ninavopenda na nisivopenda ila yy bado haelewi sasa sijui ni utoto unamsumbua au bado tu ni akili hazijapevuka mana mpaka nilishamuuliza kwani hujawai kuwa na mahusiano jamani ktk maisha yako ningekua sijawai kutiana naye pengine ningekua na wasiwasi ila yuko poa tu na so hot
Hapo underlined, uliharakia nini, unatiana unaporidhika na kila sekta mpenzi, hapo ndio uliharibu kabisa..pole sana
Basi asiulize kitu, maana kama huitaji kujenga uhusiano ndio mnakimbilia kusex, baada ya kusex ndio anaanza kumchunguza na kugundua vitu vingi hapendi, hii haifanywi kwa unaetaka future nae bana TBaliharibu nini hapo?lol
mwenyewe unaona anasema hamjui viizuri na wala hajui kama ni single au laa
lakini akatiana nae kwa utashi wake....sasa wewe na wivu wako eti kaharibu...lol
taratibu wewe...
<br /><b>kuna kijana mmoja ni single kwa madai yake koz cjamfahamu mda c mrefu so i cant tell more abt him ila kitu nilichojifunza kwake ni kama <br />
1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani anatania mpaka pale ambapo hakufai kutania ........mnaongea mada nzito nzuri na deep yy anaingiza utani wa ajabu ambao hata hukuutegemea ndani ya mazungumzo<br />
2.hataki kua karibu na mm mda wote hata kama mm nikionesha kutaka kua naye<br />
3.ni muoga sana cjui anaogopa nn sasa mwe!<br />
4.nimeshamueleza v2 vyote ninavopenda na nisivopenda ila yy bado haelewi sasa sijui ni utoto unamsumbua au bado tu ni akili hazijapevuka mana mpaka nilishamuuliza kwani hujawai kuwa na mahusiano jamani ktk maisha yako ningekua sijawai kutiana naye pengine ningekua na wasiwasi ila yuko poa tu na so hot<br />
<br />
</b>
<br />nampenda sana but he seems not to understand me at all