Mau
Senior Member
- Apr 8, 2009
- 176
- 10
Habari za hapa ndani wakuu, Naombeni ushauri wenu wa kitaalam katika kununua Digital Camera. Nahitaji Digital Camera kubwa kati ya hizi hapa
Canon EOS 50D
Canon Rebel XSi
Canon Rebel 450D
Nikon D80
Nikon D90
Wakuu kama kuna mtu ana utaalam wa camera naomba ushauri wake na ni wapi nitaweza kupata camera hizi hapa Dar na kwa bei nzuri, vilevile kama zinapatikana Used zilizopo kwenye hali yenye mafanikio ni vizuri pia manake itaweza nipunguzia gharama.
Canon EOS 50D
Canon Rebel XSi
Canon Rebel 450D
Nikon D80
Nikon D90
Wakuu kama kuna mtu ana utaalam wa camera naomba ushauri wake na ni wapi nitaweza kupata camera hizi hapa Dar na kwa bei nzuri, vilevile kama zinapatikana Used zilizopo kwenye hali yenye mafanikio ni vizuri pia manake itaweza nipunguzia gharama.