Did he flee to Canada?

Hivi alilipwa? Ushaguzi unakuja ajitolee bure kuwakomesha.
My son drink water-kunywa maji mwanangu -aliambiagwa shigongo na zhakia meghi alipoenda lumumba kudai hela zake alipokuwa anazungushwa na chama hahah
 
bado JK , Tulishawaambia tangu mapema hawa kwamba Mungu hataniwi , watadhalilishwa mpaka wakome , unawezaje kumpa ushindi mtu aliyepata mil 3 unusu ukamuamuacha wa mil 10 ?
Nasikia hata TB JOSHUA, naye aliwaambia hivyo pale alipokuja TZ Mara tu baada ya uchaguzi.....alisema "utawala huu utafitinika iwapo hamtatenda haki sawa kwa wote"
 
Re-read please
 
Mkuu ni hivi
Uwekezaji Canada ukiwa na $300000 Canadian sio laki moja unapewa PR kwanza.
 
Then canada na us wanatumia akili zao vizuri, wahindi kuwekeza huko ni kutafuta usalama wa jasho lao. Hapa kwetu tuna sheria zinazo ruhusu mtu kudhurumu, tena si kudhurumu mali tu bali hata uhai!!!. Huyo kinana anaye tuhumiwa sasa hivi amefanya yote akiwa CCM tena akilindwa na wana CCM hakuulizwa, hakuzuiwa!.... Amini nakwambia kinacho fanywa na Magu sasa hivi kitakuwa kama alicho fanya kinana. Awamu hii tuna plastic transformation kwani hatujaweka msingi.
 
The regime will breed a lot political refugees who will later be united by a common agenda to seek political freedom and justice for all
Let's see,
Do you have any example of your say?

From my experiance, those you talking about are not political refegees, those are criminals runing away from charges done before whilst they in system
 
Jiwe anatengeneza Uhasama na Kila Mtu, Mwisho wa Yote atavuna anachokipanda kwa sasa!
 
Let's see,
Do you have any example of your say?

From my experiance, those you talking about are not political refegees, those are criminals runing away from charges done before whilst they in system
Can we sue the President of URT in court if allegedly to breached the law?
 
Ngoja niangalie mpango wa kwenda kuchukua uraia wa moja kati ya hizi nchi mbili. Ahsante kwa taarifa.
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…