Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,106
- 136,784
Hahahaaaa, wema msomi anaongea kizungu hiyo ndio elimu kwa mange, shahada ya kwanza kachukua mlimani ya pili dubai akiwa tayari muke ya muzungu, nimesahau kasoma sekondari zimbabwe wakati ikwa zimbabwe kweli kabla mugabe hajaiharibu haaaaaahaa kwa mujibu wa mange, du ni shiiiider.
Tuanze na hiyo shahada ya kwanza.
Kaichukulia Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, kampasi ya Mlimani?
Alidahiliwa lini na alimaliza lini? Na alisomea nini hapo Mlimani?
Manake isije ikawa alikuwa anasoma kwenye hivyo vyuo vinavyotoa shahada kama njugu na kutumia madarasa ya Mlimani kufundishia halafu wanafunzi wake kitaa wanazuga kama kuwa ni wanafunzi wa UDSM.
CC:LINDA kwa msaada zaidi, ila hasemi kasoma kozi gani bali yy anajisifia usomi tu.
Mimi nahisi hajasoma UDSM.
Na natoa changamoto kwa yeyote yule kunithibitisha makosa.
Na kama yupo humu aweke hapa cheti alichotunukiwa na UDSM.
Si anajifanya ni mtu wa kuweka ushahidi.
Aweke basi na shahada yake aliyotunukiwa na UDSM kama kweli alisoma UDSM.
*Sidhani kabisa kama alikuwa na vigezo vya kuchaguliwa kujiunga UDSM huyo.*
Anasema UDSM alisoma lakini hakufanikiwa kuhitimu.. Alikuwa discontinuedm akiwa mwaka wa pili. Sijui alikuwa anachukua kozi gani.
Mwanzoni mwa miaka ya 2000. ( Around 2001-2003).
Siamini mpaka nitakapoona ushahidi unaothibitishika kuwa kweli alikuwa ni mwanafunzi wa UDSM na si chuo kingine kilichokuwa kinatumia tu majengo ya UDSM.
Unaweza kuwa sahihi.. Haya ni maelezo yake .
Then in 2004 nilijiunga na AVU-UDSM ambapo nilipata degree yangu ya Business Administration na sasa nipo Dubai nasoma Masters(MBA)
Mostly nimekulia Dar-es-salaam.
source : BC EXCLUSIVE: MANGE KIMAMBI’s TELL-IT-ALL INTERVIEW - BongoCelebrity
Mbna ni kichaa kitambo 2 mana angekua n maisha mazuri wa2 wasingepumua kanaisha maisha y hovyo na kujificha wa2 hawajui kwake...halafu angekua n hela asingefungua duka darfreemarket frem z laki 3 kma machinga complex y ilaka pumbavuuu zke
Wendawazimu wapo kila sehemu.
Wapo Burundi, wapo Tanzania, wapo Kenya, wapo Uingereza, wapo Dar-Es-Salaam, wapo Kathmandu, na kadhalika.
Sasa uwepo wa wendawazimu sehemu fulani hakufanyi wote waliopo hiyo sehemu kuwa wendawazimu.
Kwa hiyo, badala ya kuwarundika hao wendawazimu na wale wasiyo wendawazimu ni busara kuwataja wao tu majina yao ili kuepuka kuwaingiza na wasio wendawazimu kwenye huo uendawazimu wao.
Tanzania kuna vibaka wengi. Lakini si Watanzania wote ni vibaka.
Alifungua
Dada wa kazi akakimbia
Now watu wanataka refund zao
Hahahaha mkuu huyu binti naona ameamuwa kuwadhalilisha mnaoishi ATL.. As far as I know most of rich people (not wealth) are living in ATL.. Hata baadhi ya movies na series zilizofanya ATL zinaonesha ni jinsi gani mitaa y huko inavyopendeza macho
SourceAtlanta is considered to be a top business city and a primary transportation hub of the Southeastern U.S.
The city contains the world headquarters of corporations such as Coca-Cola, Home Depot, AT&T Mobility, UPS, Delta Air Lines, and Turner Broadcasting.
Although traditional Southern culture is part of Atlanta's cultural fabric, it's mostly the backdrop to one of the nation's leading international cities.
If Georgia were a stand-alone country, it would be the 28th largest economy in the world.[SUP][70][/SUP]
There are 15 Fortune 500 companies and 26 Fortune 1000 companies with headquarters in Georgia, including such names as Home Depot, UPS, Coca-Cola, Delta Air Lines, Aflac, Southern Company, and SunTrust Banks. Hartsfield-Jackson Atlanta International Airport, the world's busiest airport as measured by passenger traffic and aircraft traffic, is located in Georgia.[SUP][71][/SUP][SUP][72][/SUP]
Georgia has over 1,700 internationally headquartered facilities representing 43 countries, employing more than 112,000 Georgians with an estimated capital investment of $23 billion.
Atlanta has a large effect on the state of Georgia and the Southeastern United States. Atlanta has been the site of growth in real estate, service, and the communications industries.
Kwani sikukuta kwani..?
Zelsb....
Simchukii ila anakosea na hamna wa kumwambia kwenye blog yake
Hapa sasa we dare to talk openly bila uoga
Nyie mnamsifu tuuuu....
Nadhani angefungua kanisa angepata maamuma wengi sanaaaa!
Una uhakika hakuna wealthy people ATL?
Unajua kuna Forbes billionaires wangapi ATL?
Wealth kwako ni kuanzia dola kiasi gani?
Soma hii profile kutoka Forbes:
Source
GDP ya Atlanta ni kubwa kuliko ya Miami. Ni kubwa kuliko ya Czech Republic, Ireland, na Algeria.
Hapo tunazungumzia mji tu na si jimbo zima la Georgia.
Soma na hii:
That is nothing to sneeze at.
Mtu yupo majuu kutwa kuchwa analia na mafanikio ya wenzie East Africa.
Anasema hamna mtz anayesomesha mtt chini ya miaka mitano ila yeye USA nzima.
Mie nadhan zile sembe alizokua anauza mzee wake na huyu alikia anarambishwa sio bure
Alifungua
Dada wa kazi akakimbia
Now watu wanataka refund zao