Diaspora forum

Diaspora forum

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
23,961
Reaction score
42,168
Amani kwenu watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU

Hili ni jukwa la diaspora wa Africa mashariki

Kupeana uzoefu na kupeana njia za kuruka majuu

Kupeana utaratibu namna ya kuishi inchi za watu, namna ya kufika nchi za watu

Kupeana michongo katika inchi hizo na kushikana mikono

Nchi zote tutakwenda , nchi zote tutafika, tupeane soko la ajira uarabuni, Amerika , ulaya na Africa ya kusini

Karibun KENYA, TANZANIA, UGANDA, RWANDA, SOUTH SUDAN, BURUNDI, CONGO hizi ndo ichi za est Africa

LONDON BOY

From st James street
 
Kama una mchongo au tahadhari

Tusaidie ambao tuna lengo la kuvuka boda
 
1. Andaa passport

2. Jifunze lugha ya mahali unataka kwenda walau uwezo wa kujieleza kwenye kuomba visa au kwa afisa uhamiaji bod ya nchi utayotua aka lugha ya kuombea maji.

3. Kuna watu wengi (ukiacha matapeli na wanaochaji hela/madalali) siku hizi wamejitolea kutoa maelezo ya namna ya kufanya kwenda nchi mbalimbali kihalali iwe kusoma, kazi, kuolewa/kuoa ama kuishi huko kimoja ama kutembea/utalii.

4. Andaa fedha/pesa kwa ajili ya safari. Hakuna cha bure, hata ukipata scholarship na mtu wa kukuhifadhi utakokwenda bado ni muhimu kuwa na pesa yako ya dharura. Mambo ni mengi yanatokea.

5. Jifunze/chunguza shughuli za namna ya kuishi kwenye nchi unayotaka kwenda kabla hujapokea mchongo wowote. Usijipeleka mahala uchumi wao unaendeshwa kwa kulima na wewe hupendi kulima.

Aluta Kontinua.
 
1. Andaa passport

2. Jifunze lugha ya mahali unataka kwenda walau uwezo wa kujieleza kwenye kuomba visa au kwa afisa uhamiaji bod ya nchi utayotua aka lugha ya kuombea maji.

3. Kuna watu wengi (ukiacha matapeli na wanaochaji hela/madalali) siku hizi wamejitolea kutoa maelezo ya namna ya kufanya kwenda nchi mbalimbali kihalali iwe kusoma, kazi, kuolewa/kuoa ama kuishi huko kimoja ama kutembea/utalii.

4. Andaa fedha/pesa kwa ajili ya safari. Hakuna cha bure, hata ukipata scholarship na mtu wa kukuhifadhi utakokwenda bado ni muhimu kuwa na pesa yako ya dharura. Mambo ni mengi yanatokea.

5. Jifunze/chunguza shughuli za namna ya kuishi kwenye nchi unayotaka kwenda kabla hujapokea mchongo wowote. Usijipeleka mahala uchumi wao unaendeshwa kwa kulima na wewe hupendi kulima.

Aluta Kontinua.
Safi Mkuu lazima,uwe mtu wa kujichanganya!kilimo, biashara,fundi, michezo nk.
 
Wanaokuja SA ili usisumbuke mambo ya siku za kuishi hapa ukiweza baada ya kumaliza siku 90 rudi Tanzania nenda ubalozi wao waombe visiting Visa ya mwaka unapewa harafu hiyo unaweza kuitumia kufanya mambo yako bila usumbufu unaongea na kampuni yeyote inaandika barua moja kwa ubalozi wa SA Tanzania na kwenye email yako ni kitu rahisi maana naona watu wengi baada ya kumaliza siku wanasumbuliwa au kurudishwa Airport yao ya Oliver Tambo.kuweni makini sana wanasumbua sana hapo JHB Airport kama siku zako za kuisha zimeisha toka walivyogonga mara ya kwanza na pia usiende ubalozini kuomba visiting visa hautapewa mpaka umalize siku zako 90 za kuishi bila tatizo.
 
Back
Top Bottom