Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

NO,hamtuelewi, tukipata mwanaume anafanya mizinguo..na sisi.. tunazingukia humo humo..LOL
Haswaa.. Tena tunazingua hadi shetani anakaa pembeni anashangaa yanayotokea. Ni rahisi sana kwa mwanamke kumfanya mwanaume ajione si lolote si chochote. That explains why Dai alijikuta anaokota kila type na kupeleka Madale baada ya kuachana na zee. ile ilikuwa ni kuji comfort kwamba yeye bado ni kidume
 
hii yote ni kutaka kumringishia Dai halaf kakuta mchiz mwenyewe hata habari hana,huyu mwanamke tukisema malaya watu mnapanic,atamegwa then atatemwa atapata basha mwingine ataendelea kumlingishia Kingbae wa wake a sasa kwamba wewe sisi chochote nimepata goma jingine,nako pia atamegwa na kutemwa mwisho wa siku 50 hii hapa......highest stage of insane

Naona unajipa moyo huku unajua kabugi.. Bora angemuongelea Tanasha wake. . Kiki imeenda kwa Queenbae na Kingbae.. Nyimbo haiongelewi na lazima analia kuona Zari ndio alikuwa anamsaidia kuwika. Na humu imeonyesha hivyo.
 
People are dying to have her life... Eeeish smh..... Low life people have problems.. Kuna watu wana pretend to be nice girls while wamelalwa na wanaume zaidi ya ishirini... Unaweza kuhesabu wa Zari wasifike hata kumi but they are here abusing and calling her names...

Jamani kama kudanga is that simple dangeni nanyi mpate hiyo life yake mnayooita fake.... Pheew
Tena kwa Chips kuku. Mwenzao ana watoto wazur I, matajiri na wanasoma Vizuri
 
leo!!!!..eti alifanya mizinguo aachwe,kama haimuumi anayasema ya nini baada ya muda wote huu walioachana,??angeyabana kifuani like he always have done...jamaa wenu KAACHWA,AND HE DOESNT GET OVER IT..ALIJIDAI KUIGNORE KAONA YAMEMSHINDA ...kaamua kusema, you know what well done MONDI lol kuna wanaume wengine wanakufa mapema sababu ya kubeba vitu kifuani..LOL
Kusema vitu vinavyokusumbua inaleta afya ya ubongo
 
Alichofanya Mondi "Dangote",na Zali "the boss lady"ni kuji dhalilisha mbele ya jamii.Hakina faida yoyote,ni utoto sana,yaani unamtukana mama wa watoto wako kwamba ni kicheche!
Hivi Latipha angekuwa binti mkubwa,harafu unamuita mama yake Malaya!unafikiri binti yako angejisikiaje?
Hakuna haja ya kuweka mambo yenu hadharani,huku duniani kuna watu wanafurahi mmeachana,yaani kwao furaha ni pale wanapoona wengine wanakumbwa na majanga,wanataka umbea tu!
 
Na uzuri zari hafichi wala kufuta past zake picha nyingi zipo kwenye account zake anaetaka anapekua na kuchukua

Wanatunga story nyiingii kila siku mpya wanasahau uongo wa zamani
People are dying to have her life... Eeeish smh..... Low life people have problems.. Kuna watu wana pretend to be nice girls while wamelalwa na wanaume zaidi ya ishirini... Unaweza kuhesabu wa Zari wasifike hata kumi but they are here abusing and calling her names...

Jamani kama kudanga is that simple dangeni nanyi mpate hiyo life yake mnayooita fake.... Pheew
 
Unamuamini Kama alivyosema mtoto wa Hamisa mobetto sio wake pale Clouds fm?
Kawaida hyo mbona...kwa hili namuamini diamond sanaa tu 100% kasema ukweli alikaa kimya siku nyingi mnoo watu wakamuona falaa mondi,nilijua ipo siku ukweli utaanikwa...malipo humu humu mitandaoni!!
 
Ukizaa na mwanamke mkaachana,anatumia mtoto kukuadhibu Mimi pia ni muhanga.Kwa bahati mbaya katika swala LA malezi ya Mtoto always wanaume tunaonekana wenye makosa,ni sawa na beki tatu ashitaki polisi kwamba hujamlipa mshahara hata kama ulimlipa Jana yake hakuna atakaye kuamini...
yaani na huu mwendo wa single mothers aisee watoto wanakuwa na mapenzi 0% na wazazi wa kiume kwa kuwa wanachongeshewa maneno na huwa wanakua nayo hivyo hivyo kwa kuwa picha ya maisha wanaiona kutoka kwa mama...
 
Tatizo lenu wanaume mnakitembeza kidudu chenu nje mnachepuka mpaka mnaishiwa nguvu za kiume, tukiona mmezidi tunaamua kuvunja mahusiano kipindi cha kwanza cha kuachana wanawake huwa tunaumia sana. Tukishaamua kumove on na tunazidi kupe deza hatuna time na ww tena tukapata mwanaume zaidi ya yule, hapo ndo mnaanza kuumia. Nyambaaafuuu Zari kamkomesha yule mwakitombile alijua atakua kama Hamisa kumlilia shida Shubamiiiit
Akili zenu za kushikiwa Nyie
Network ina hama wakati wowote!

Ova
 
Kawaida hyo mbona...kwa hili namuamini diamond sanaa tu 100% kasema ukweli alikaa kimya siku nyingi mnoo watu wakamuona falaa mondi,nilijua ipo siku ukweli utaanikwa...malipo humu humu mitandaoni!!
Ndo Kama alivyosema Zari alikuwa anamcheat alafu sentensi ya mbele anasema Zari alikuwa muaminifu na wife material kwake ?
Anasema alikuwa anatuma dola 2000 kwa mwezi baadae sentensi ya mbele anasema Zari kamblock hata kumuomba a/c ya kutuma hela kwa watoto anashindwa ataongea na mwanasheria wake ili Zari atoe a/c namba?

Anasema Zari alimpenda kuliko yeye alivyompenda sentensi ya mbele anasema chanzo Cha ugomvi na kuachana Ni Zari kugoma kuamia Tanzania ili waishi wote
Kwaiyo mtu usiempenda unaweza mtaka aje muishi wote?


Huyu ndo mtu unamuamini kwa 100%,?
Your better than this
 
Ndo Kama alivyosema Zari alikuwa anamcheat alafu sentensi ya mbele anasema Zari alikuwa muaminifu na wife material kwake ?
Anasema alikuwa anatuma dola 2000 kwa mwezi baadae sentensi ya mbele anasema Zari kamblock hata kumuomba a/c ya kutuma hela kwa watoto anashindwa ataongea na mwanasheria wake ili Zari atoe a/c namba?

Anasema Zari alimpenda kuliko yeye alivyompenda sentensi ya mbele anasema chanzo Cha ugomvi na kuachana Ni Zari kugoma kuamia Tanzania ili waishi wote
Kwaiyo mtu usiempenda unaweza mtaka aje muishi wote?


Huyu ndo mtu unamuamini kwa 100%,?
Your better than this
Mimi namuamini daimond adanganye,aseme ukweli vyovyote nimechagua kumuamini,daimond sio mtoto mdogo kiasi cha kukubali kutengana na Zari kirahisi hvyo wakati angeweza muoa bila shida yoyotee...ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo

Zari kaongea sana and people choose to believe her..ukute hata yeye alikua anadanganya

Hayo yote yangeweza kusettle if and only if wangekaa pamoja so nimemuelewa daimond!!
 
Demu hata uwe maarufu au tajiri kama humkojozi atacheat tu.. Wanaume wengi wanajidanganya na status zao . Mondi jitafakari unakojoza au lepwelepwe maana mademu zako wote wanakucheat unawaangusha wanaume wa Dar
 
Back
Top Bottom