Kanyamulano
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 905
- 870
Hahaha uhuu mchezo hautaji hasira
Wengi wamemjua Zari kupitia diamond ila cha ajabu wanamdharau diamond kwa sababu ni mwanaume ambaye anajaribu kuficha aibu ya mama wa watoto wake..Sema story ya Zari na Peter kitambo kweli kumbe hawakuachanaga?
Haya wale wa bidada bosslady kumbe anadanga tu kama Sisi waje waone alivyokua anakitembeza
Ndio maana wengi wanamuona Zarina kama hustler sijui nini.Wengi wamemjua Zari kupitia diamond ila cha ajabu wanamdharau diamond kwa sababu ni mwanaume ambaye anajaribu kuficha aibu ya mama wa watoto wake..
Huyu zari nae hana tofauti na tulionao bongo na tena akheri wao hawana hata sex tapes mitandaoni, huyu ni seller kama seller wengine ila kwa kuwa ni wale wanaojiweka classy baada ya kukaribia retirement age plus ugeni na English anaonekana wa maana sana bongo..
Siafiki diamond alichokifanya ingawa najua ni biashara tu lakini Zari is overhyped..
Naona umetoka usingizini, Diamond kaeleza vyema kasema hivi kwanza hajawahi kuachwa kabisa ila anawafanyiaga vimbwanga mpaka wanaondoka wenyewe.MMMNhhhhh…. hata kama alikua anacheat,yeye Diamond hakucheat pia??..wanawake kuletewa mtoto ndani ni breaking up point...uhusiano lazima ulege lege...afadhali umkute mwanaume na mtoto ila sio kuletewa ndani, wachache sana wana survive this,mie simlaumu Zari kutafuta na kupata attention somewhere else...Mondi ndio responsible kila siku wanawake...hafu sasa hivi anataka ku play sympathy card..hovyoooooo
Mbona unakua mgumu kuelewa? zinangatia huu mstari "ukizingua nakupa matukio utaindoka mwenyewe tu"MMMNhhhhh…. hata kama alikua anacheat,yeye Diamond hakucheat pia??..wanawake kuletewa mtoto ndani ni breaking up point...uhusiano lazima ulege lege...afadhali umkute mwanaume na mtoto ila sio kuletewa ndani, wachache sana wana survive this,mie simlaumu Zari kutafuta na kupata attention somewhere else...Mondi ndio responsible kila siku wanawake...hafu sasa hivi anataka ku play sympathy card..hovyoooooo
Mkuu kuna watu vichwa vyao ni maboksiMbona unakua mgumu kuelewa? zinangatia huu mstari "ukizingua nakupa matukio utaindoka mwenyewe tu"
Naona umetoka usingizini, Diamond kaeleza vyema kasema hivi kwanza hajawahi kuachwa kabisa ila anawafanyiaga vimbwanga mpaka wanaondoka wenyewe.
Zari alikuwa kamfanya zuzu, sasa baada ya kuona upuuzi wa zari umezidi kwa sababu trainer wa zari kashamfinya zari kitandani kwake akaanza yeye kumfanyia za kiswahili zaidi hadi kakimbia Listen Radio now before they sign out
Mbona unakua mgumu kuelewa? zinangatia huu mstari "ukizingua nakupa matukio utaindoka mwenyewe tu"
Mrembo tatizo unasoma huelewi, Diamond kwa mujibu wa maelezo yake hajawahi kuachwa ila anafanya vitimbwi mpaka wanayeya wenyewe.eti ''anawafanyia vimbwanga wanaondoka wenyewe'' kujidai kidume tu kwenye radio..yeye ndie aliachwa na ua jeusi akapewa,wote tuliona msitudanganye hapa….
Mbona una comment kwa hasira mama?eti ''anawafanyia vimbwanga wanaondoka wenyewe'' kujidai kidume tu kwenye radio..yeye ndie aliachwa na ua jeusi akapewa,wote tuliona msitudanganye hapa….
Hajalalamika Rebecca acha kukurupuka basi sikiliza Radio au tizama YouTube uache kukurupuka hovyonani 'mzinguaji' hapoo??.. kama anawazingua,wakiondoka kwa nini analalamika
Mrembo tatizo unasoma huelewi, Diamond kwa mujibu wa maelezo yake hajawahi kuachwa ila anafanya vitimbwi mpaka wanayeya wenyewe.
Mbona una comment kwa hasira mama?
Pole sana
Nyumba wanayoishi Zari. A watoto ni ya Mondi kasema hivyo ila Zari analeta figisu watoto anawapeleka UG tu huku bongo visingizio kibaoTwende na kurudi nyuma jamaa anashindwa vipi kwenda south kuona watoto? Yule mtoto wa kike alikuwa anampenda sana babaake. Uwezo anao angeenda.
Zari nilimjua kitambo enzi hizo nafuatilia East Africa showbiz.. alikuwa anatajwa kama socialite mwenye pesa zaidi EA ila kilichonishangaza ni kuonesha fancy cars na nyumba lakini hana historia ya kukuambia alivipataje zaidi ya kujihusisha na rich gang ya UG..Ndio maana wengi wanamuona Zarina kama hustler sijui nini.
Waulize wataje biashara 3 tu za Zari zaidi ya kuwa danke danke. Tofauti yake na wengine yeye anadeal na wanaume wenye hela ili awalie hela zao baasi ila hana ubosslady wala usafi wowote yani
Yeye na Wema hawana tofauti hata sema tu mmoja analiwa na mataifa mmoja anakitembeza bongo ila Zari hayuko hivyo fans wake wa bongo wanavyomchukulia.
Tatizo hawajui hata alishaachana na Ivan akaenda kwa Peter akajuaga Peter atamuoa mpaka safari ya kina Peter Bongo alikuja bila kuitwa.
Anahangaikaga Huyu aaminishe watu ana maisha mazuri
Hajalalamika Rebecca acha kukurupuka basi sikiliza Radio au tizama YouTube uache kukurupuka hovyo
Hate ni mbaya sana, Farid kubanda aliimba Hakika chuki humchoma anaeihifadhi nyimbo inaitwa sihitaji marafikiThe fact kasema leo huo upuuzi,hio ni public stunt kama zilivyo nyengine mxiuuuuuuuuuuuuu