Diamond & Yemi wametisha sana humu

Diamond & Yemi wametisha sana humu

Mi wote nawakubali ila kwenye ukweli tuseme,kiba kajisahau

Kweli...alipo domo alitakiwa kimataifa alitakiwa kiba awe mbali zaidi ya dai..ulle mradi wa one8 ulitakiwa ndo uwe stepping stone yake kwenda kimataifa....wale alofanya nao kazi ilitakiwa awatafte wapige mikollabo...
Diamond kollabo na davido ndio imefungua njia zake.
Watu hawaoni haya wanawaza chuki tuu
 
nikifikaga ofisini tu ,lazima ni-youtube hiyo video

Kaka mm sijui kwann sikuiona siku nyingi mpaka Jana ndo Diamond alishare hio link kutazama nikaipenda sana.
 
Kazo kwelikweli
Japokuwaktk nyimbo zote za dai ni huu tu niliwahi kuupenda mpaka kuweka kwenye cm yangu.
 
hii coke studio ya wapi?naona nyimbo kibao zinapigwa,how hawa majamaa wanafuatilia mziki wa kibongo hivi

io ni project kubwa sana sio africa tu adi mabara mengine mfano india na wanachoangalia kipaji kujituma umaarufu ulio nao na vngne ndo mana wapo mastar wengi iyanya waje na wengne kutoka naijeria uganda kenya mozambique tanzania na nchi nyingne
 
io ni project kubwa sana sio africa tu adi mabara mengine mfano india na wanachoangalia kipaji kujituma umaarufu ulio nao na vngne ndo mana wapo mastar wengi iyanya waje na wengne kutoka naijeria uganda kenya mozambique tanzania na nchi nyingne

joh makini naye alikwepo sijui kaimba na nani sikumbuki vizuri
 
joh makini naye alikwepo sijui kaimba na nani sikumbuki vizuri
mdada mnaijeria anaitwa chidnma watanzania wapo wengi kidogo na wanaweza ongezeka mwakani kwa sasa ivi shaa,vannessa,diamond,johmakini niliona insta wamemwomba godzilla kuwafollow labda mwakani ataongezeka
 
Nyimbo Imetulia na Chibu katupia maneno ya kikoloni vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom