warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,455
Zari umeni let down bhana , Talking about Tanasha? Like seriously? That’s how boss lady behaves ?, yan that’s too low kwa kweli yan umeniboa kupitiliza, now ndo naamini why diamond said huja move on , and he was right , how could you open your mouth about tanasha? Mbona Tanasha hana muda na Ex wa domo? Zari mswahili sana na wewe mpaka unaboa, Kwan ulitumwa kubeba Mimba?, c ulibeba kwa raha zako , endelea kulea sasa mwenyewe kwanza c unasemag wewe bosslady au ? Sasa kutwa kushinda mitandaon kujifanya unamshauri tanasha mxiie

muda wote unatamani uliemuacha aendelee kuharibu ili ujione ulikua sahihi kumuacha...sasa ukiona ametulia,anafanya mambo yake na hana habari na wewe haloooo inaumaaa!!!


