Hahahhahababhhuyu anaumia kisa zari kuachwa achana nae
Haaaaa ngosha ngoshaaaa kweli mpnzi??? Uliniahidi utakua namm bega kwa bega.,,, leo unanidharau???putini Nimekudhaaarauuuuu
Bagamoyo unachina nenda sumbawanga kabisaNdo nasema ,nakuendea bagamoyo yaaan lazima ujilete mwenyeeee.
Nafurah km uko poa ,hata mie nko poa sana .

Sumbawanga watakuendesha maana muda wote utaishia kutaja jina langu mwisho utabaki puti ....putiii ..putiiiBagamoyo unachina nenda sumbawanga kabisa
![]()
hebu nioneshe tuzo aliyobeba ya wanawake
endelea kujifariji ,huna hata haya
Mnamdanganya kabisa. Mimi ni shabiki wake lakini kwenye huu ujinga wake wala sipo pamoja naye.....hata uko kenya kuna sheria....waulize sauti soul walifungiwa mara ngapi video zao? mimi bado najiuliza kweli video zake hajaona shida? Diamond lazima ajirekebishe na ajifunze kupunguza mdomo...... Hakuna sehemu ana soko kubwa zaidi ya tanzania na hakuna anapo weza kuwa huru zaidi ya tanzania.....aende kenya aone,,,,
Bongo bora ukose figo sio bandoNyumbani Tanzania kumenoga,kila siku mastory mapya
Sumbawanga watakuendesha maana muda wote utaishia kutaja jina langu mwisho utabaki puti ....putiii ..putiii
Mie nataka unifae kwa matumiz yangu binafsi ya muda mrefu.


Team kiba utawajua tu kwa matendo yao
Kucheza na mind za watanzania,easy sana ,sana tena ,sana mnoBongo bora ukose figo sio bando
Kufungia video za local artist kisa maadili na kuziacha za kina nicki Minaj wakionesha maziwa ni sawa na kufunga milango ili kuzuia mbu lakini madirisha ukaacha wazi... Hujafanya lolote, mbu watakung'ata tu na malaria utapataMnamdanganya kabisa. Mimi ni shabiki wake lakini kwenye huu ujinga wake wala sipo pamoja naye.....hata uko kenya kuna sheria....waulize sauti soul walifungiwa mara ngapi video zao? mimi bado najiuliza kweli video zake hajaona shida? Diamond lazima ajirekebishe na ajifunze kupunguza mdomo...... Hakuna sehemu ana soko kubwa zaidi ya tanzania na hakuna anapo weza kuwa huru zaidi ya tanzania.....aende kenya aone,,,,
si-ndio.
karibu chaiKucheza na mind za watanzania,easy sana ,sana tena ,sana mno

wafungie na hizo channel za miziki ya nje iwe sawa au hunielewi we we,na movie wazuie,, yaan umfananisha platinum na manfongo ,si uwaongeleee na wewe hao wengine umezuiwaNaona mnapiga porojo zisizo na maana, mtu kutangaza nchi ndio iwe sababu ya yeye kukiuka taratibu na sheria za nchi???
Inafahamika music au video zenye viashiria vya nudity ni kinyume na sheria zetu. Halafu acheni double standard nyimbo za nay,roma na manfongo zote zimefungiwa mbona hatuoni mkiwaongelea na kuwatolea vilio vyenu.
Ifike muda tuobserve sheria haijalishi wew ni msanii mkubwa au mdogo.