johnsenior
Member
- Sep 11, 2014
- 83
- 20
hooooooooooooooooooooot
vp youtube mbona haupo?
Huu wimbo Mbona hauna tofauti na style ya Kasimu Mganga.
Kasimu amesha Tumia sana beat na maadhi ya Namna huu ya kipwani. Huu wimbo hauwezi kuwa Heat duniani
Afadhali bambam kuliko huu. Alitakiwa atoe style za bambam
kla mtu na uimbaj wake,uclazmishe kla mtu aimbe km mwenzie anavyoimba hata fd q hawez kuimba km roma japo wote n wana hp hop
Alaf kila siku mnasema diamond mbunifu.'
Kama n mbunifu atoe wimbo usiohusu mapenzi then ufunike kama yule mtoto wa k/koo..
Alaf kila siku mnasema diamond mbunifu.'
Kama n mbunifu atoe wimbo usiohusu mapenzi then ufunike kama yule mtoto wa k/koo..
Kassim mganga kwa vocal bongo sijaona sijui kwanini jamaa hapewagi sifa sake
Video ya huyo jamaa wako imefika wapi?
Kapata tuzo ngapi?
Internationally kawa recognized kiasi gani?
Weka stats mezani acha maneno kama babu wa samunge
Video ya huyo jamaa wako imefika wapi?
Kapata tuzo ngapi?
Internationally kawa recognized kiasi gani?
Weka stats mezani acha maneno kama babu wa samunge
Fid q haimbi!
km haimbi anafanyaje?km hujui sema ujulshwe na co kupandia gar kwa mbele
km haimbi anafanyaje?km hujui sema ujulshwe na co kupandia gar kwa mbele
Anachana
Kusema ukweli jamaa anajua nimetoka kuicheki video ya wimbo wake mpya Unaoitwa NITAMPATA WAPI ambao umetoka kupigwa muda si mrefu kwenye kituo cha TV cha TRACE video yake imesimama kweli kweli na ukichanganya na modal wake wa kizungu ipo vzuri sana ila ameniudhi tu vituo vya bongo vya TV na Redio haijasambazwa amefanya vibaya
Kassim mganga kwa vocal bongo sijaona sijui kwanini jamaa hapewagi sifa sake
ushauri kwa mods,kwa kua tayari kuna special thread ya diamond fans' ingekua vyema mada zinazo anzishwa humu jamvini ambazo zina jirudia au mada ambazo tayari zipo kwenye ile special thread na hapa jamvini zina funguliwa tena uzi wake basi ni vyema zikawa moved to that diamond special fans' thread ili kuepuka kujadili mada mara mbili mbili.