Diamond Platnumz na Mafikizolo watinga bungeni

Diamond Platnumz na Mafikizolo watinga bungeni

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
Dah, kweli bw.chibu dangote noma aisee mwaliko special
uploadfromtaptalk1463046633568.jpg
 
duh huyu Mafikizolo kavaa nini hapo....mambo ya kulazimisha maana anaonekana ni si mtu wa suti na nadhani jitihada imetumika kumlazimisha kuondoa zile shanga za shingoni
 
Special wapi jaman kwenda bungeni ni kawaida sanaaaaaa?
 
duh huyu Mafikizolo kavaa nini hapo....mambo ya kulazimisha maana anaonekana ni si mtu wa suti na nadhani jitihada imetumika kumlazimisha kuondoa zile shanga za shingoni
Hahahahahahaha
 
Sidhani kama kwa umaarufu walionao Mafikizolo kule Bondeni wanaweza kutinga Bungeni kirahisi rahisi tu... Eti kwenda kutembea, Halafu nini kinafuatia baada ya hiyo ziara
 
Sidhani kama kwa umaarufu walionao Mafikizolo kule Bondeni wanaweza kutinga Bungeni kirahisi rahisi tu... Eti kwenda kutembea, Halafu nini kinafuatia baada ya hiyo ziara
Yaaan umaarufu wao unacompare na bunge tukufu la jamhuri ya muungano? SMH
 
Sikumchagua mimi, kura yangu moja made nuh difference
 
Back
Top Bottom