We jamaa labda humjui Diamond vizuri na kama unamjua bax ni chuki binafsi... nitajie msanii yeyote hii bongo ambaye akitoa wimbo utajadiliwa kwa kila namna km mond. Ona iyo, iangalie kamata, kaichek na naanzaje zilivozua mijadala... Kwa hayo tu ya kujadiliwa kila akitoa ngoma inaonekana ni kwa kiasi gani anafatiliwa