Uyu diamond naye ajifunze uvumilivu yani akisikia tu mwenzio kiba anasumbua hewa basi anajitahidi kuachia wimbo
Ujumbe kwa washauri wake sasa hivi watu washajua diamond haina haja ya kila baada ya miezi miwili atoe wimbo sasa ni mda wa kupiga pesa watanzania wengi wana hamu ya kumuona diamond kwanini mnashindwa andaa tz tour woga wenu nini ebu fanyeni wasafi mna wasanii wanne wote wanajulikana hivi kweli mnashindwa andaa tour tz tena kwa kingilio kidogo tu mtapiga pesa zaidi ya fiesta
Yani dai, rich, Rey, harmo, plus wadau wenu dully, chid, sheta, ney wa mitego, nk mbona pesa hiyo hapo sema mvua zimeanza ngoja ziishe