Mbona hayafanani? Au ulikosea title?
Gari za Ronaldo ni jamii ya Lamborghini na Ferrari, acha upambav basi
Yupi Yule mtoa kafara?Mwanamuziki namba moja Tanzania na Afrika Mashariki baada ya kushambuliwa sana na mitandao ya kijamii wiki jana na mwanzoni mwa wiki hii ameamua kujipoza na ndinga kali yenye hadhi ya kimataifa.
Kwa nn mawazo yako yamekupeka kukodisha it means hana uwezo wa kununua gari la ivo
Yy kasema kachukua hio kwa ajil ya trip yke ya S.A, ninavyojua unaweza uka kodisha gar ya kifahar kwa ajir ya matanuz somewhere, tena amesama kbsa n south sio bongo
sijasema hana uwezo, ila hajasema km kanunua na hata sula la kukodosha nimesema "unaweza" means sina uhakika, kwaio kusema kakodisha moja kwa moja au kanunua moja kwa moja yote sio sahh mana yy hajasema hivyoKwa nn mawazo yako yamekupeka kukodisha it means hana uwezo wa kununua gari la ivo
Exactly.Awekeze kwenye mambo ya maana sl. Kushindana kununa magari ni ushamba.
yapo magari yenye kimo kidogo lakini ya bei kubwa sanaMwanamuziki namba moja Tanzania na Afrika Mashariki baada ya kushambuliwa sana na mitandao ya kijamii wiki jana na mwanzoni mwa wiki hii ameamua kujipoza na ndinga kali yenye hadhi ya kimataifa.
Naona unahangaika sana,ngoja nikusaidie.Exactly.
ZamdaIssa sihangaiki hata kidogo,laiti kama kila MTU angeliweka kila kitu chake hadharani wengi tungelishangaa.Naona unahangaika sana,ngoja nikusaidie.
Diamond ana nyumba nyingi sana alizopangisha,Dar na nje ya Dar..nyingi saaana,na huu ndio uwekezaji mkubwa alonao,yule dogo ananyumba nyingi saaaana!!!
Diamond ana Mashamba makubwa sanaaa ya mananasi na matikiti huko Pwani.
Ana shamba kubwa la kufugia kuku wa kisasa,kienyeji huko Kibaha!!kuku wale wamewekwa kwenye mabanda makubwaa zaidi ya ishirini!!
Diamond ana Hotel nyingi Morogoro,Dar,Mtwara na sehemu nyingine kwa uchache,,ila Morogoro amejitahidi kuwekeza sana.
Ana mashamba makubwa ya nyanya huko Ngarenanyuki anakodishwa halafu analima
Hayo ni machache niyajuayo mimi,mengi zaidi anajua yeye mwenyewe na Familia yake!!Diamond ni mfanyabiashara kuliko unavyomfikiria
Naona hujapendezwa na kitendo cha yeye kununua gariZamdaIssa sihangaiki hata kidogo,laiti kama kila MTU angeliweka kila kitu chake hadharani wengi tungelishangaa.
Tanzania bado changa inahitaji watu aina ya Diamond katika uwekezaji mkubwa has a katika viwanda,migodi n.k
Uwekezaji alioufanya ni mzuri sana,tumpe hongera zake.
Tu nashukuru kwa ta arifa.
He he he we jamaa ni muongo balaa ebu kakojoe ulaleNaona unahangaika sana,ngoja nikusaidie.
Diamond ana nyumba nyingi sana alizopangisha,Dar na nje ya Dar..nyingi saaana,na huu ndio uwekezaji mkubwa alonao,yule dogo ananyumba nyingi saaaana!!!
Diamond ana Mashamba makubwa sanaaa ya mananasi na matikiti huko Pwani.
Ana shamba kubwa la kufugia kuku wa kisasa,kienyeji huko Kibaha!!kuku wale wamewekwa kwenye mabanda makubwaa zaidi ya ishirini!!
Diamond ana Hotel nyingi Morogoro,Dar,Mtwara na sehemu nyingine kwa uchache,,ila Morogoro amejitahidi kuwekeza sana.
Ana mashamba makubwa ya nyanya huko Ngarenanyuki anakodishwa halafu analima
Hayo ni machache niyajuayo mimi,mengi zaidi anajua yeye mwenyewe na Familia yake!!Diamond ni mfanyabiashara kuliko unavyomfikiria
Lete ukweli wako utakaopinga uongo wangu!tofauti na hivyo muongo ni weweHe he he we jamaa ni muongo balaa ebu kakojoe ulale