Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Tatizo la wabongo Hamsomi uzi mkaelewa mnasamaraiz "hater"
Lilikua swali,mengine nyongeza tu
Time will tell a tale
 
Kijana naona kachoka,anajikaza tu.
Zile mbwembwe zote "dabliucibiii beibeee'
Ushapigwa?Zari kaondoka na chake na life yake yote as you work you pay Child support.
Nyumba kule sahau,km kuna ulichoacha sahau,hapo bongo vyote vyako ,akikuletea wanao badae uwaone labda tena ukiendelea kuwa staa.
Nilikwambia hapa unaviziwa tu na huyo demu siku uko KTK hali mbaya anamalizia

Karibu kutuliza akili jipange,sallam haonekani,babutale kakomaa atakuacha soon,Leo hii we wa kuweka caption za kumlilia maaamaa eh mamaaa(kaolewa na mario mmoja muhuni tu)
Kazana na hali yako
Mzee ulikua juu sana,ila kolabo hasa za wapopo ndio zimekupaisha
Kaigiza kila nyimbo wapopo wanamwangalia tu siku hizi.
Davido anajuta pia kumpa Diamond mbwelele kumpeleka international
ila ka move on na life
Sa hii Tekno.Wizzy.Davido Acha kina P,square huko zamani pale dogo anajifananisha nao,hao jamaa hawana hata meneja mmoja ila temporary wanaajiri pale wana tenda.
Tena kiuangalifu temporary,hao madogo wakienda mtoni ama popote sharti huko andaeni mlinzi,dancers,mziki mzuri mi nikija namalizia.
mfano show ya Chris Brown Kenya,yule alienda kula bata tu,maana aliwapa masharti magumu na jamaa walikubali akalipwa.
Ndo ile katua na private jet kapumzika kaenda kupiga dk 90 akasepa.kamaliza mkataba.
Diamond kuna tour alilazimisha alipiwe ticket family nzima

Umezaliwa sengerema nini, mbona unahisia za kizwazwa?!
 
She take my money when I'm in need Yea she's a trifling friend indeed Oh she's a gold digger way over town That digs on me Now I ain't saying she a gold digger But she ain't messing with no broke niggas Now I ain't saying she a gold digger But she ain't messing wit no broke niggas
 
Kijana naona kachoka,anajikaza tu.
Zile mbwembwe zote "dabliucibiii beibeee'
Ushapigwa?Zari kaondoka na chake na life yake yote as you work you pay Child support.
Nyumba kule sahau,km kuna ulichoacha sahau,hapo bongo vyote vyako ,akikuletea wanao badae uwaone labda tena ukiendelea kuwa staa.
Nilikwambia hapa unaviziwa tu na huyo demu siku uko KTK hali mbaya anamalizia

Karibu kutuliza akili jipange,sallam haonekani,babutale kakomaa atakuacha soon,Leo hii we wa kuweka caption za kumlilia maaamaa eh mamaaa(kaolewa na mario mmoja muhuni tu)
Kazana na hali yako
Mzee ulikua juu sana,ila kolabo hasa za wapopo ndio zimekupaisha
Kaigiza kila nyimbo wapopo wanamwangalia tu siku hizi.
Davido anajuta pia kumpa Diamond mbwelele kumpeleka international
ila ka move on na life
Sa hii Tekno.Wizzy.Davido Acha kina P,square huko zamani pale dogo anajifananisha nao,hao jamaa hawana hata meneja mmoja ila temporary wanaajiri pale wana tenda.
Tena kiuangalifu temporary,hao madogo wakienda mtoni ama popote sharti huko andaeni mlinzi,dancers,mziki mzuri mi nikija namalizia.
mfano show ya Chris Brown Kenya,yule alienda kula bata tu,maana aliwapa masharti magumu na jamaa walikubali akalipwa.
Ndo ile katua na private jet kapumzika kaenda kupiga dk 90 akasepa.kamaliza mkataba.
Diamond kuna tour alilazimisha alipiwe ticket family nzima
Jinsia yako plz
 
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanaomtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".

Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kuwa "The baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.

Kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.

Karibuni sana wadau.
Huyo Naseeb Abdul "Chibu Dangote" Yupo hapa!???
 
Sawa mkuu ila nilikuepo kwenye shoo yake ya kahama aliutendea haki aliimba mwanzo mwisho bila kutumia CD
Mimi ni mmoja wa watu wanao penda kazi za Diamond!
Namshauri ajifunze kuimba bila kutegemea CD ! Diamond ana uwezo wa kutumia band kama ataamua kuanza kufanya zoezi la kutumia band na kuimba live music!

Kuliko kuwekeza kwenye msafara mrefu kila anapo kwenda ni bora akawekeza kwenye band na akawa anaimba live kuliko kutegemea CD!

Diamond pia ana hitaji msemaji wake maana hana msemaji!
 
Back
Top Bottom