Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Nilivyoona hiyo avatar nilidhanj ni Nifah nikajua labda ameungamaWoyooo! Naona uzi wetu umerudi.. Sijui waliuficha wapi..
Hebu tuufufue tena wakuu.. Winners, watu wa mipango, Wadau, wapenzi na mashabiki wote wa # WinnersCycle WCB.. Hiki kijiwe chetu kimerudi..
Sasa Nifah ole wako mkafufue kile kiuzi chenu cha kiba, si unajuaga nikikasirika
BravoKabisa Mkuu! Diamond ni kioo na mfano wa kiigwa na wasanii wengine Tanzania na Africa kwa ujumla..
Hakuna msanii aliyeoigwa vita na media na haters kama Diamond lakini mpaka sasa amebakia kileleni na kuwa moja ya manguli wa hii industry Africa..
Bravo.
Hahahahaha!! Ila karibuni namleta Usafini mtoto mzuri NifahNilivyoona hiyo avatar nilidhanj ni Nifah nikajua labda ameungama
So ikabidi nicheki ID Mara mbili mbili ahaaaa kumbe ze bolidi hahaha
Bravo
Tatizo kubwa tulilo nalo kama taifa ni kutowatia moyo mashujaa wetu, Diamond is our champion kwenye musical industry. Ni bahati mbaya sana hatuna utaratibu mzuri wa kuenzi heros wetu ktk sekta mbalimbali na ndio maana tunashindwa kuzalisha vijana wapya mahiri badala yake ni kuwapiga vita ili wasizidi kupata mafanikio. Diamond Go Go Go Go. ....
Kivuli cha nifah kimenileta hapa....nkajua niyeye ndio anasema hayaaa.Kabisa Mkuu! Watanzania tumekuwa stadi sana kuwapiga vita heros wetu..
HahahahahaKivuli cha nifah kimenileta hapa....nkajua niyeye ndio anasema hayaaa.
Thubutuuuu,utaniteka kwa vyote darling lakini sio kunitoa k/koo.
Hiyo vita yake hutoiweza
Nifa unaonekana mtamu sana weweThubutuuuu,utaniteka kwa vyote darling lakini sio kunitoa k/koo.
Hiyo vita yake hutoiweza