Habari njema wadau...
Upigaji kura tuzo za Nigerian Entertainment Awards umefunguliwa rasmi hii leo..
Diamond anawania kipingele cha best African artist (ambacho ni mahususi kwa wasanii nje ya nigeria) .. Hivo basi tupige kura huku ni rahisi kinoma, unapiga kura mara moja tu!! kipengele chake ni cha kwanza, una click kwenye tick na ikiwa ya kijani inamaana kura imepokelewa (hakikisha kutumia browser)
link hii
⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇
http://neaawards.com/index.php/voting-page/
⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆