Diamond na Tunda mahaba niue

Putin acha utani. Diamond hamsumbui Zari? Ni mwanamke bora labda kwa kutafuta hela (usiniulize zipi) ila kimapenzi ni mnyonge kama tulivyo wanawake wengi.
Diamond anamfanyia vitu vingi sana vya dharau ila anaogopa kuondoka sababu ya umaarufu. Wanaume wanacheat inajulikana ila baada ya kumjua mchepuko na bado akaendeelea nae ni kujitafakari hapo. Sasa alikua na vita na Hamisa sasa hivi akaendeleze vita kwa mwanae wa kumzaa Tunda. Kwa umri wake alitakiwa atulie tulii hata diamond anavyomcheat hasemu neno watu tungemuona kweli mwanamke wa shoka. Ila kuanza kushindana na wanawake wa nje haikutofautishi wewe na wao.
Diamond mwenzie damu inachemka na hela ndo inaingia kila siku sasa aendelee kulambana nae atukomeshe wambea ila hataacha mwenzie anayoyafanya.
kamu anfolo damond IG mama nillan ujue!!
 
Putin acha utani. Diamond hamsumbui Zari? Ni mwanamke bora labda kwa kutafuta hela (usiniulize zipi) ila kimapenzi ni mnyonge kama tulivyo wanawake wengi.
Diamond anamfanyia vitu vingi sana vya dharau ila anaogopa kuondoka sababu ya umaarufu. Wanaume wanacheat inajulikana ila baada ya kumjua mchepuko na bado akaendeelea nae ni kujitafakari hapo. Sasa alikua na vita na Hamisa sasa hivi akaendeleze vita kwa mwanae wa kumzaa Tunda. Kwa umri wake alitakiwa atulie tulii hata diamond anavyomcheat hasemu neno watu tungemuona kweli mwanamke wa shoka. Ila kuanza kushindana na wanawake wa nje haikutofautishi wewe na wao.
Diamond mwenzie damu inachemka na hela ndo inaingia kila siku sasa aendelee kulambana nae atukomeshe wambea ila hataacha mwenzie anayoyafanya.
Madale guest house
 
Tatizo yule mtoto Diamond hana heshima anamdhalilisha mama wa watu. Na mama mwenyewe anavyopenda umaarufu anang'ang'ania hapo hapo utasema kaambiwa ndo nyota yake ya kutajirikia. Yule mmama alivyo mzuri ukiambiwa anachezeshwa segere na mtoto kama Diamond unaweza ukalia kwa hasira
Siuoni uzuri wake tako lina pembe NNE miguu tende rangi kama karatasi masikio kama popo

Dinazarde
 
Putin acha utani. Diamond hamsumbui Zari? Ni mwanamke bora labda kwa kutafuta hela (usiniulize zipi) ila kimapenzi ni mnyonge kama tulivyo wanawake wengi.
Diamond anamfanyia vitu vingi sana vya dharau ila anaogopa kuondoka sababu ya umaarufu. Wanaume wanacheat inajulikana ila baada ya kumjua mchepuko na bado akaendeelea nae ni kujitafakari hapo. Sasa alikua na vita na Hamisa sasa hivi akaendeleze vita kwa mwanae wa kumzaa Tunda. Kwa umri wake alitakiwa atulie tulii hata diamond anavyomcheat hasemu neno watu tungemuona kweli mwanamke wa shoka. Ila kuanza kushindana na wanawake wa nje haikutofautishi wewe na wao.
Diamond mwenzie damu inachemka na hela ndo inaingia kila siku sasa aendelee kulambana nae atukomeshe wambea ila hataacha mwenzie anayoyafanya.
Hapana , Zary anakili sana , Anashindwa kuondoka nisababu anaakili , amekua kiumri watoto wake bado wanahitaji kumuona Baba yao kila siku

Of course Zarieth anapenda Kua Maarufu na Maisha yakimaarufu ila amini nakuambia Zarieth akitaka kumwacha jamaaa anamwacha km kawaida ,,nisababu nihiii , Nim'mama sio binti ,vibinti ndo vinakuwaga ving'ang'anizi nisababu mabinti hawana pakushika matokeo yake nihayo.

Amini amini nakuambia ,ukitaka kujua Diamond anaweweseka kwa zary , Angalia mangapi ameyafanya kwa Zary ??? Angalia ile siku Zary alozushiwa zile picha akiwa kwa maji najamaa fulan ivi....Uliona Diamond alivyopagawa ??????.

Sasa subiri mobeto au tunda wafanye ujinga ,alafu uone km Diamond ataangaika ,hawezi !!.

ila IPO siku Zarieth atakua Fade up na Ataondoka. Huyu Diamond ,ujana tuuu ndo mwingi na Maisha ya usaniii ,Ila Zarieth at her age anaitaji Maisha ya kuheshimiwa ndo maana unaona anakua ivi alivyo nakulumbana.

Of course ,, MTU yoyote MTU mzm namwenye Akili na Maisha binafsi ,anapopatwa na Tatizo lazima huchanganyikiwa na kujaribu kutafuta Relief .

Zarieth ni best of the woman kuliko hao watoto ,, alafu hawa watoto nao wanatafuta umaarufu kupitia Zarieth amna lolote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom