Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,123
- 15,659
Mara hii mtoto wake sio zuu tena.mama watoto sita jamaniii na ana ujukuuu mtoto wa kwanza anaitwa jamilaa
Speecheless girl who?
Kesho atakua mama yako wewe
Mara hii mtoto wake sio zuu tena.mama watoto sita jamaniii na ana ujukuuu mtoto wa kwanza anaitwa jamilaa
Speecheless girl who?
haya bhana.Hanceee tafuta helaaa
La sivyo utaishia kuposti bata za mafruto tuu!!
kamu anfolo damond IG mama nillan ujue!!Putin acha utani. Diamond hamsumbui Zari? Ni mwanamke bora labda kwa kutafuta hela (usiniulize zipi) ila kimapenzi ni mnyonge kama tulivyo wanawake wengi.
Diamond anamfanyia vitu vingi sana vya dharau ila anaogopa kuondoka sababu ya umaarufu. Wanaume wanacheat inajulikana ila baada ya kumjua mchepuko na bado akaendeelea nae ni kujitafakari hapo. Sasa alikua na vita na Hamisa sasa hivi akaendeleze vita kwa mwanae wa kumzaa Tunda. Kwa umri wake alitakiwa atulie tulii hata diamond anavyomcheat hasemu neno watu tungemuona kweli mwanamke wa shoka. Ila kuanza kushindana na wanawake wa nje haikutofautishi wewe na wao.
Diamond mwenzie damu inachemka na hela ndo inaingia kila siku sasa aendelee kulambana nae atukomeshe wambea ila hataacha mwenzie anayoyafanya.
Madale guest housePutin acha utani. Diamond hamsumbui Zari? Ni mwanamke bora labda kwa kutafuta hela (usiniulize zipi) ila kimapenzi ni mnyonge kama tulivyo wanawake wengi.
Diamond anamfanyia vitu vingi sana vya dharau ila anaogopa kuondoka sababu ya umaarufu. Wanaume wanacheat inajulikana ila baada ya kumjua mchepuko na bado akaendeelea nae ni kujitafakari hapo. Sasa alikua na vita na Hamisa sasa hivi akaendeleze vita kwa mwanae wa kumzaa Tunda. Kwa umri wake alitakiwa atulie tulii hata diamond anavyomcheat hasemu neno watu tungemuona kweli mwanamke wa shoka. Ila kuanza kushindana na wanawake wa nje haikutofautishi wewe na wao.
Diamond mwenzie damu inachemka na hela ndo inaingia kila siku sasa aendelee kulambana nae atukomeshe wambea ila hataacha mwenzie anayoyafanya.
Anazuga tu atamfollow tena. Umri wa kutulia kuenjoy orgasm ye bado anagombania dudu.kamu anfolo damond IG mama nillan ujue!!
Stress tupuHapana bwana vitoto ndo vizuriii
Grandma ana drama hatarikamu anfolo damond IG mama nillan ujue!!
Tatizo yule mtoto Diamond hana heshima anamdhalilisha mama wa watu. Na mama mwenyewe anavyopenda umaarufu anang'ang'ania hapo hapo utasema kaambiwa ndo nyota yake ya kutajirikia. Yule mmama alivyo mzuri ukiambiwa anachezeshwa segere na mtoto kama Diamond unaweza ukalia kwa hasiraMadale guest house
unataka wa type gani sasaEkschuzi mi!! sina shida ya kuvuliwa chupi na vitoto
Nasikia hasira kweli anavyomfanyia mmama wa watu.yaani yule mama daah!hapana kwa kweli!
Yaani mambo anayoyafanya kaaaah!upuuuzi mtupu!
Diamond naamini anafanya kusudii!
Yumkini hamtaki!
Kweli hamna linaloshindikana zari kua bi mkubwa wako.Yote yawezekana hayooo
Team zari mtatukanaaaa weee!
Poleni tunda yuleeeer Rwanda
Nani anataka shombo la maziwa!
Pizza delivery guy ndio nanNingekua Zari ningeachana na mitandao ya kijamii nimuaachie pizza delivery guy ajilie vitoto vyake atakavyo ila mimi sijui. Ila anavyoshindana nao na wenyewe wanamtia aibu
Siuoni uzuri wake tako lina pembe NNE miguu tende rangi kama karatasi masikio kama popoTatizo yule mtoto Diamond hana heshima anamdhalilisha mama wa watu. Na mama mwenyewe anavyopenda umaarufu anang'ang'ania hapo hapo utasema kaambiwa ndo nyota yake ya kutajirikia. Yule mmama alivyo mzuri ukiambiwa anachezeshwa segere na mtoto kama Diamond unaweza ukalia kwa hasira
Hapana , Zary anakili sana , Anashindwa kuondoka nisababu anaakili , amekua kiumri watoto wake bado wanahitaji kumuona Baba yao kila sikuPutin acha utani. Diamond hamsumbui Zari? Ni mwanamke bora labda kwa kutafuta hela (usiniulize zipi) ila kimapenzi ni mnyonge kama tulivyo wanawake wengi.
Diamond anamfanyia vitu vingi sana vya dharau ila anaogopa kuondoka sababu ya umaarufu. Wanaume wanacheat inajulikana ila baada ya kumjua mchepuko na bado akaendeelea nae ni kujitafakari hapo. Sasa alikua na vita na Hamisa sasa hivi akaendeleze vita kwa mwanae wa kumzaa Tunda. Kwa umri wake alitakiwa atulie tulii hata diamond anavyomcheat hasemu neno watu tungemuona kweli mwanamke wa shoka. Ila kuanza kushindana na wanawake wa nje haikutofautishi wewe na wao.
Diamond mwenzie damu inachemka na hela ndo inaingia kila siku sasa aendelee kulambana nae atukomeshe wambea ila hataacha mwenzie anayoyafanya.
Wacha atanuliwe lipwelepwete akitulizesiku mbili anamfollow na kuanza kurusha vijembeee
Hapana ukuni anakupiga haswaaaa