Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
Karanga zinalika sana mkuu,,sema anaongeza wigo wa biashara tu..Mwitiko wa kwenye karanga haujawa kama alivyopiga hesabu. Kiashiria ni kuanza kutoa promo kua ukinunua karanga utakuta zawadi ya gari, bajaji n.k.
Sijioni nikinunua karanga ili nipate zawadi ya gari.
Tv nahisi kigingi ni clouds na E tv akiwa na content nzuri anatoboa