Diamond ft P Square soon to be released

Diamond ft P Square soon to be released

Paul S.S

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
6,408
Reaction score
3,269
ImageUploadedByJamiiForums1431202928.180348.jpg
 
Wakati hasimu wake Kiba bado anahangaika na jinsi ya kufanya shooting ya cheketua zaidi ya miezi kadhaa sasa mwenzake anatoa wimbo wa pili sasa tena full audio na video
 
Tunausubiria kumekuchaaaaaaaaa....leo anaongelewa kila kona mtandaoni kwa post aliyotoa
 
Nimesimama kabisa naisubiri collabo kubwa Africa sina wasiwasi sababu najua soon mzigo utaachiwa.

Wala sina haja ya kuvuta kiti na kukaa kuusubiri mzigo kama nasubiri video ya ule wimbo wa Ali.
 
''relesed'' ni nini?

Muwe mnapitia mlichoandika kwanza.
 
Big up platnumz tunasubiri pini hilo.

HAUSHUKI LABDA UFE. Naona hii kauli imewaudhi wengi haha
 
hahahhhahaha

Fanya yako Kijana wetu, wenye nia njema tuko pamoja nawe.
 
Utafikiri yy ndio mtz wa kwanza kuimba na p2

ahahahaha saydou huku toka kabisaa hakukufai!!nenda kuleeee.kwenu huku tutakukwaza bure kaka wa watu!.ahahahahaha!!

PLATINUM NAKUPENDAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!
 
roho mbaya ni ugonjwa kama magonjwa mengine tu!

Huyo ndio Nassib bwanah!hutaki unaacha!!!watakunywa mwarobaini mpaka watapike asali ahahaahahaaaaa!!

Halafu wangejua wangekaa tu kimya wakampuuza lakini hivi wanavyojifanya kuungana na makundi yao ya kinafiki ndio wanazidi kumpandisha hasira kwenye kichwa chake!!anawarushia makombora barabara na yanawatandika vizuri sana!

Ile ndio Icon ya TZ banahNampenda kufaaaaa na sitobadili msimamo milele.l
 
Big up platnumz tunasubiri pini hilo.

HAUSHUKI LABDA UFE. Naona hii kauli imewaudhi wengi haha

tena sana mkuu,na watajibeba mwaka huu!wamekalia ooh!sisi wakongwe kwenye gemu!nani anataka wakongwe kwenye mziki??

Wacha waendelee kuota.
 
Back
Top Bottom