Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

watu wana maneno ya ajabu kweli kumbukeni ndo maana iphone simu zao siku zote bei zao ziko juu and bado wanapata wateja , issue ni price discrimination inavo tambua ubora wa bidhaa na hata wateja watakao tumia sio wale wachukua alafu kesho lawama za kutosha mitandaoni, Siku zote ukifuata hao mashabiki wa maisha ya chini tegemea kuwa wa low status tu, sababu kila kitu utafanya bei ya chini
 
Huyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
We kama huwezi nunua kanunue vi kuruthumu vya 2000 buguruni. Watu wananunua pafyum mpaka 500,000 we unahanya na 105,000?
 
Market segmentation wachumi tunaita price discrimination, ukiona unalalamika ujue haujalengwa wewe,wapo wabongo ambao wananunua mpaka perfume za laki 4+,Na bidhaa kama hizi hawaangalii volume of sales wanaangalia revenue generation. That's why kuna Carina Ti na Bentley Continental.

Im neither his fan nor hater ila kwa hili nampongeza.
Price discrimination!!!! Sawa watoto wa tandale kashatukosa...ila asije kulazimisha zile za kwetu tunazo zimuda kama Casablanca ziuzwe nazo laki kama walivyotanya bongo muviiiii....[HASHTAG]#usinipangie[/HASHTAG]
 
Watanzania tunapenda kulalamika bila hata kujua bei inachangiwa na nini. Diamond ni International Artist, na anapotoa bidhaa si kwa kulenga TZ peke yake bali ni dunia nzima. Unategemea akitoa product yenye kiwango cha chini si atakuwa anajiharibia jina.
 
Huyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
Bwana weeee, kama huna 105,000 nenda kibandani kanunue COBRA kwa 3,000
 
Huyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
Leo Diamond amekuacha mpweke
 
Ubunifu bila plan ni upuuzi unazindua perfume unauza 105,000/=what is your target, inaamaana unafanya jambo bila kutazama nani unaekwenda kummuzia,mtanzania shabiki wa Diamond ana uwezo wa hiyo hela.
Jamani...kwani mmeambiwa mashabiki zake wote ni watu wa maisha ya chini???! Kwanini mnataka kumpangia bei wakati hajui amegharamia kiasi gani kwenye uandaaji na matangazo??! Besides, wapo watu ambao wanajichangaga na kununua perfume mpaka za laki 3-4 nyie mnalalamikia laki moja?!

Mwenye biashara ndo anaepanga bei. PERIOD!!!
 
Angejua kuwa washabiki wake ni mahousegirl hata asingeweka bei ya ivyo. Imekula kwake kama wema na vile vichupi na lipstick.
 
Unapakaje perfume. Si kwa kupulizia? Sasa wewe una perfume, chupa, mwenzio ana mtoko. Anataka kupuliza makwapa 2. Upande na upande. Si utampulizia mara mbili? Sasa kama kila kwapa ni shs 500. Atakupa shs 1000 kwa makwapa yote mawili.
 
Aliamua kukaa kimya, akae tu...hata angeuza kwa shilingi mia...sinunui,huu siyo muda wa kucheka cheka na opportunist.
 
Hivi ile clothing line yake aliyoanzisha ya WCB inafanyaje sokoni?

Kama ile ameshindwa hivi kweli perfume nani atanunua kwa hiyo bei? Exposure yote aliyonayo pamoja na kwenda ulaya kila siku bado hajui apart from mziki nini kitampatia pesa matokeo yake yeye kila siku kujaribu jaribu tu mambo.. Mara App sijui ya kuuza mziki, huko hajafanikiwa karukia perfume..

Diamond una jina kubwa sana, clothing line sijui maperfume havijawahi kumtoa msanii yeyote mkubwa hata huko duniani. Tafuta biashara ambayo inagusa matumizi ya watu ya siku kwa siku.. Angalia biashara wanazofanya akina Mo na Bakhressa.. Ushauri tu ebu jaribu hata kutengeneza kinywaji chako, iwe Juice au Soda kama za Azam au Mo hapo utatoboa mara moja maana mashabiki wako wengi ni wanafunzi na watoto wa uswazi ambao hawana kipato kikubwa ukilinganisha na hizo bei unazoweka kwenye bidhaa zako.. Na hata biashara ya Juice mteja mmoja anaweza akawa anakunywa Juice yako angalau mara tatu kwa wiki lakini hizo Perfume na nguo anaweza purchase once in a lifetime.. Akina Pdidy na 50 Cent wao wanatajirikia kwenye liquor sasa wewe si mnywaji basi fanya hata Juice hizo au hata Non-Alcoholic drinks..

Demu wako Wema alikuja na biashara gani sijui lakini pamoja na mvuto wake kwa mashabiki wake alifeli, kuwa tofauti usifate mkumbo na usifanye biashara za sifa (kwamba perfume yangu inauzwa ghali).. Hujafikia level za kutengeneza prestigious products maana mashabiki wako ni watu wa hali ya chini..
Big up sana.
 
Diamond amezindua rasmi pafyumu yake ya Chibu, itauzwa kwa bei ya 105,000 bei ya rejareja ameomba sapoti kwani anatoa ajirakwa vijana
Zitapatikana GSM Mall, Mlimani City, pia zitakuwa zikipatikana kwenye ndege


Safi nimeipenda hii tena angefanya hata laki 3 kabisa

Nasema hivi kwa sababu ingekuwa ya bei ya chini kila mtu angenunua matokeo yake watu mkitembea mnakuwa mnanukia harufu moja kila mtu kitu ambacho sikipendi

Bora allivyofanya hivyo,wale watanashati tunaojua kutupia tutanunua tu ila wale wazee wakuunga unga waendelee ni spray zao za buku 5 tano
 
Back
Top Bottom