aronstephy
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 300
- 618
watu wana maneno ya ajabu kweli kumbukeni ndo maana iphone simu zao siku zote bei zao ziko juu and bado wanapata wateja , issue ni price discrimination inavo tambua ubora wa bidhaa na hata wateja watakao tumia sio wale wachukua alafu kesho lawama za kutosha mitandaoni, Siku zote ukifuata hao mashabiki wa maisha ya chini tegemea kuwa wa low status tu, sababu kila kitu utafanya bei ya chini