ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,851
- 41,924
Teh tehSafi nimeipenda hii tena angefanya hata laki 3 kabisa
Nasema hivi kwa sababu ingekuwa ya bei ya chini kila mtu angenunua matokeo yake watu mkitembea mnakuwa mnanukia harufu moja kila mtu kitu ambacho sikipendi
Bora allivyofanya hivyo,wale watanashati tunaojua kutupia tutanunua tu ila wale wazee wakuunga unga waendelee ni spray zao za buku 5 tano