Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
View attachment 65728 hii picha alipiga morogoro na mastaa wa kike
View attachment 65728 hii picha alipiga morogoro na mastaa wa kike
Kuna baadhi ya sehemu za mwili wa binadamu ukiziona ndipo unajua rangi halisi ya mhusika!. Mimi nilidhani mambo ya Calorlight (Karolaiti) na mikorogo ni kwa dada zetu tuu!. Na kwa wanaume ni wanamuziki wa Wakongomani tuu?!. Kumbe hata hawa wenzetu!. Angalia rangu ya mguu na uso!.
Hakuna photoshop hapo ni picha ya kweli, naomba radhi picha hiyo imepigwa Mbeya ndani ya hoteli ya Peace of Mind muda mchache baada ya wasanii hao kutoka kuogelea, mambo ya Fiesta hayo.Haaaaaaaaaaaaa itakua photoshop hyo maana navyojua mimi kwa rangi hyo ya juu ya diamond basi miguu ingekuwa meupe kuliko hapo coz mda mwingi inafunikwa.
Hakuna photoshop hapo ni picha ya kweli, naomba radhi picha hiyo imepigwa Mbeya ndani ya hoteli ya Peace of Mind muda mchache baada ya wasanii hao kutoka kuogelea, mambo ya Fiesta hayo.
Kuna baadhi ya sehemu za mwili wa binadamu ukiziona ndipo unajua rangi halisi ya mhusika!. Mimi nilidhani mambo ya Calorlight (Karolaiti) na mikorogo ni kwa dada zetu tuu!. Na kwa wanaume ni wanamuziki wa Wakongomani tuu?!. Kumbe hata hawa wenzetu!. Angalia rangu ya mguu na uso!.
Kuna baadhi ya sehemu za mwili wa binadamu ukiziona ndipo unajua rangi halisi ya mhusika!. Mimi nilidhani mambo ya Calorlight (Karolaiti) na mikorogo ni kwa dada zetu tuu!. Na kwa wanaume ni wanamuziki wa Wakongomani tuu?!. Kumbe hata hawa wenzetu!. Angalia rangu ya mguu na uso!.
Hawa nao wana jipeleka wenyewe tu hawana lolote!
Mimi nilijua, utakumbushia jinsi gani JF itafungwa kwa kuingilia privacy ya watu. Kumbe ya Peter na Sam tu!