mabesela
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 1,294
- 680
Kwa kifupi mi naona kajiharibia show zingine zote za ulaya na sehem nyingine. Unajua kwa kuwa haoa bongo watu wanamkweza ndio maana anatujia alfajiri. Nakumbuka kuna show alifanya Geita kwa kweli alitudharau vya kutosha kama mashabiki. Ukumbi mbaya, mvua ikatunyeshea na bado alichelewa kuja. Bad enough akaimba nyimbo mbili tatu akatambaa....
Kweli kuchukua promota Nigeria ni kupoteza dira kutokana na sifa za utapeli walizonazo raia wa nchi hiyo....
mmh mi prfile pic yako hiyo ndo ugonjwa wangu huo.