Uzi wa kijinga huuNi aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
ππShow off
Umasikini ni nini?Acha visingizio umasikini mbaya
Duuh kwa kweli mimi ninatimiza 20 june ngoja nipambane na mimi nimzidi mondiNi aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Sio tatizo lakoNi aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...
Kauli za kimasikini hizi zinipitie mbaliiii ππππHayo yote yanapita, muhimu uzima.
At its best π―π―Show off
Wenye umri huo inawachoma mkuuuuhuyu bwana mdogo ameamua kuwavuruga kabsa sikurtegemea uzi utatrend kias hiki
Thank you,Huo ndio ukweli umri uendane na mafanikio yako
So miaka 35 huna hata kiwanja
π―π―Thank you,
Kauli za kutiana hasira kutafuta pesa,
Wazembe watakushambulia sana kwa maneno mabaya
Kipindi ana miaka hiyo alikuwa na Nokia Asha aliyopewa na Mama yake, baada ya kumaliza kurisiti kidato cha nne. Asubuhi akishapata zake buku au jero za wizi kutoka kweye change za vitafunio anaenda kuweka vocha, ana-download video za ngono, ni mwendo wa kujichua tu! πππHaaland ana 22yrs
Hakimi ana 24
Mbappe ana 24
Ethan Mbappe ana 16
Turudi kwako, wakati uko kwa early 20s ulikuwa na nini? Au ndio utasema tusikufananishe na wazungu?
Ukweli unaouma ambao wengi wao humu hawaufahamu, au wanaufahamu na waliwahi kuusikia lakini hawataki kukubaliana nao.Nikwambie tu mkuu,Kila kitu Ni nyota Kama nyota yako haijachezewa kufanikiwa Ni jambo rahisi
Ww umetoroka milembeNi aibu mtu mwenye umri sawa na wewe, tena mtoto wa masikini kama naseed Abdul kuwa na maendeleo kukuzidi.
Mungu amekupa umri sawq na diamond ila wewe huna lolote aibu yako...