Trace TV ni kituo cha TV cha Ufaransa maarufu
kwa burudani ambapo kwa miaka kadhaa sasa
hivi kimeendelea kuchukua watazamaji wapya
wapenda muziki kila siku kutokana na ubora wa
muziki unaopigwa na wao, video kali kutoka kila
kona ya dunia ambapo leo kituo hicho ya
kimesema hizi ndio video 10 bora za Africa
zinazotamba wiki hii zikiwemo za watanzania
wawili (Vanessa Mdee & Diamond Platnumz)
10.Timaya ft Phyno & Deettii- Gbagam
9.Iyanya & Diamond Platnumz Nakupenda
8.Vanessa Mdee ft K.O Nobody But Me
7. Mi Abaga - bad melle
6.Runtown -The Banger ft Uhuru
5.Wiz Kid Expensive Sh*t
4.Davido ft Meek Mill (Fans Mi)
3.YemiAlade ft. phyno
2.Diamond Platnumz ft Mr Flavour Nana
1.Olamide- Bobo
From Millardayo.com
sifa nyingine hizi hapa diamond kamshinda davido 1. anamdomo mkubwa kuliko davido 2. anaishi na mwanamke anayemzidi umri 3. davido ana mtoto na degreee 4.diamond katolewa na davido au hizi sio sifa
Why do you compare Mond and Davido?
Wanakula ndimu na malimao saivi watarudi soon
Kiba yeye ana nini we mbusi?
et wanamlinganisha kupitia viewers yani davido ndo kamfanya diamond awe fameous nigeria halafu mnashindanisha nae jamani acheni huo ushabiki maandazi na supu
mbona alikiba alipata umaarufu mkubwa kupitia wimbo alioshirikishwa na queen darlin 2007,
Acha kujipanikisha hovyohovyo em kapige kura kwa icon wa taifa sio maneno maneno ya ukiazi hapa... Best live, collable na male afu subiria performance yake na neyo tunavyozizoa tuzo zetu woyooooooooooo