Katika kazi za hivi karibuni kati ya mastaa wakubwa zaidi barani afrika King of pop Afrika ya mashariki Diamond Platnumz aka. Chibu dangote toto la kimanyema amezidi kung'ara zaidi juu ya OBO baddest, Davido adeleke..
Licha ya davido kufanya project yake na raper mkubwa marekani Meekmill, sesan akiwa director kazi ya diamond ft. Mr. Flavour "Nana" imepata mapokezi mazuri zaidi kutoka kwa mashabiki huku style ya sankoro ikiwa gumzo kila pande ya Afrika na baadhi ya maeneo nje ya bara..
Kwenye mtandao wa youtube "nana" ilifanikiwa kuangaliwa na watu zaidi ya 1000000+ ndani ya siku 12 tokea iachiwe tar 29 mei.., wakati "fans me" ya davido imeachiwa tar 9 june na ndani ya siku 14 mpaka leo haijafika views milioni moja ikiwa imetimiza 950k+.. Hii inaonyesha ni kiasi gani kazi ya diamond imepokelewa kwa ukubwa na kufurahiwa na wengi..
Hata hivyo kwenye kituo kikubwa cha TV Trace katika top ten Africa
"Nana" inakamata nafasi ya 3, huku
"Fans me" ikikamata nafasi ya 4 na zote zinapanda kwa kasi
Pia kwenye nafasi ya nane diamond unamkuta kwenye wimbo alioshirikishwa na iyanya "Nakupenda"
Watanzania wamezidi kufurahia uwepo wa king of pop diamond ambae anatarajia kupata tuzo tatu MTVMAMA kama alivyofanya channel o mwaka jana, ambapo mpaka hivi sasa anashikiria rekodi kama msanii wa kwanza tokea Afrika mashariki kupata nomination 5 ndani ya miaka miwili MTVMAMA huku wakimpendekeza kama msanii bora wa kiume barani miaka yote....
"Nana" Diamondplatnumz ft. Mr flavour
https://m.youtube.com/watch?v=IflpfcHmq5I
"Fans mi" Davido ft. Meekmill
https://m.youtube.com/watch?v=3E6pwUO1b7s&itct=CDgQpDAYASITCKmbvbXXg8YCFYgSHAodFzsAQlIOZGF2aWRvIGZ0IG1lZWs%3D&client=mv-google&gl=TZ&hl=en
Licha ya davido kufanya project yake na raper mkubwa marekani Meekmill, sesan akiwa director kazi ya diamond ft. Mr. Flavour "Nana" imepata mapokezi mazuri zaidi kutoka kwa mashabiki huku style ya sankoro ikiwa gumzo kila pande ya Afrika na baadhi ya maeneo nje ya bara..
Kwenye mtandao wa youtube "nana" ilifanikiwa kuangaliwa na watu zaidi ya 1000000+ ndani ya siku 12 tokea iachiwe tar 29 mei.., wakati "fans me" ya davido imeachiwa tar 9 june na ndani ya siku 14 mpaka leo haijafika views milioni moja ikiwa imetimiza 950k+.. Hii inaonyesha ni kiasi gani kazi ya diamond imepokelewa kwa ukubwa na kufurahiwa na wengi..
Hata hivyo kwenye kituo kikubwa cha TV Trace katika top ten Africa
"Nana" inakamata nafasi ya 3, huku
"Fans me" ikikamata nafasi ya 4 na zote zinapanda kwa kasi
Pia kwenye nafasi ya nane diamond unamkuta kwenye wimbo alioshirikishwa na iyanya "Nakupenda"
Watanzania wamezidi kufurahia uwepo wa king of pop diamond ambae anatarajia kupata tuzo tatu MTVMAMA kama alivyofanya channel o mwaka jana, ambapo mpaka hivi sasa anashikiria rekodi kama msanii wa kwanza tokea Afrika mashariki kupata nomination 5 ndani ya miaka miwili MTVMAMA huku wakimpendekeza kama msanii bora wa kiume barani miaka yote....
"Nana" Diamondplatnumz ft. Mr flavour
https://m.youtube.com/watch?v=IflpfcHmq5I
"Fans mi" Davido ft. Meekmill
https://m.youtube.com/watch?v=3E6pwUO1b7s&itct=CDgQpDAYASITCKmbvbXXg8YCFYgSHAodFzsAQlIOZGF2aWRvIGZ0IG1lZWs%3D&client=mv-google&gl=TZ&hl=en