Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,075
- 136,512
arifu nilikuwepo......dogo ana possibility kubwa ya kuukwaa umeme..maana wale mashori waliokuwa wanamkumbatia lazima wawe na ngoma.....
Ebana nilimuona Jokate kaa alikuwa kachanganyikiwa hivi....ila kweli dogo inabidi awe makini sana.