Mkuu ni wapi nilipochochea moto ukawaka na ninani wameungia.?Umesema REVENGE?
Wewe ni mchochezi haukupaswa kusambaza ujumbe
jokate inakuuma sana iyo 2.2BUnalipwa Bilioni 2.2 alafu unalipa kodi milioni 35...
Hiyo lazima TRA wakuite kuchukua Chao.
UNAHISI KUKWEPA KULIPA KODI NI UJANJA TAFAKARI CHUKUA HATUASawa take Hiyo!!!!!!!
Alifikiri wasanii wenzake kukaa kimya kuhusu utajiri wao ni sababu gani?
Wapo wanaopata hela nyingi Hata kumzidi lakini huwezi kuwaona magazetini au mitandaoni kwa kihofia kuandamwa.
Acha dozi imuingie pole pole ndio Kesho asipost mambo ya kusifia biashara asiyolipia ushuru!!!!!
Mbona kama Simba kanuna.. kodi noma
Ohoooo!!!Mpaka amesahahau Kama ni MKE wa mtu mkuu.
Ohooo!!!Kiba ni mkubwa kuliko TRA yenu!
Kamuulize baba ako Dimond akupe majibu.Kwenye hio bil 2.2 unajua gharama zilizotumika kuipata?!!