Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,103
- 9,531
Hilo sio jukumu la BASATA su yoyote aliyefungia..Ni vizuri zaidi mngeanza kudeal na waliotoa ruhusa ya kushuti kama mnaona kuna kosa limefanyika.
Wanadeal na kazi za sanaa ( ikiwemo maudhui,)
Ikiwa na maana Tata utafungiwa tu.....
Hayo ya vibali hayawahusu.
Hawakupewa kibali cha kuleta content zenye ishara ya kukejeli dini, walipewa kibali cha kushoot video kanisani.