Diamond aibuka na kupinga wimbo wake kufungiwa, asema nchi ina wenyewe

Hilo sio jukumu la BASATA su yoyote aliyefungia..
Wanadeal na kazi za sanaa ( ikiwemo maudhui,)
Ikiwa na maana Tata utafungiwa tu.....
Hayo ya vibali hayawahusu.
Hawakupewa kibali cha kuleta content zenye ishara ya kukejeli dini, walipewa kibali cha kushoot video kanisani.
Sijasema kua hilo liwe jukumu la Basata bali nawaongelea nyie mnaomlaumu Diamond,ndio maana nimewashauri kua mgeanza na waliomruhusu Mondi kushuti hiyo clip Kanisani.
 
Hakuna watu wana dhalilisha nyumba za ibada kama hao wachungaji fake mawaidha yao matusi tu mambo ya ngono mara waende kwa Mungu kupitia darini na misikitini ma shekh fake mawaidha mambo ya nguoni tu na vitendo vya kubaka na kuna wakati ngumi zinapigwa kugombea sadaka, hawa ndio wana dhalilisha nyumba za ibada kila siku. Kuna kwaya utasema msondo ngoma na kuna kaswida utasema singeli.
 
Wakristo tunajijua ama niseme tunajulikana. Hua hatuna mambo mengi pindi majengo yetu ya ibada yanapotumiwa katika miziki au hata miziki inapoashiria kinachofanywa hapo kinahusiana na dini ya kikristo.

Ndiyo maana hata wasanii wanaona dini ambayo wafuasi wake hawatokurushia mawe ni Ukristo. Wanamuziki wengi wameimbia kanisani, ndani na nje ya Tanzani, Amini ameshoot video kanisani, Mwana FA ameshoot video kanisani, Dudubaya ameshoot video kanisani, Banana ameshoot video kanisani, GK alishirikisha dini ya kikristo, Shaggy kashuti kanisani na Pastor akaonyeshwa ananyonga, T Pain akashut kanisani na wakapageuza dance floor.

Sasa tusiwajudge hao wa nje kwakua wana uhuru mkubwa kutuzidi. Sisi wakristo wa Tz huu wimbo tangu umetoka hakuna siku nilisikia malalamiko, mimi wimbo nimeuona jana lakini hata kama ningeuona kabla bado nisingelalamika.

Kwanini?

Kanisani tunafundishwa kwamba "Kanisa siyo jengo. Lile jengo linaweza likabomoka, linaweza tumiwa kufanya uasherati, kuimbia miziki. Kanisa siyo jengo kanisa ni Wewe. Kama Wewe ukaamua kwamba hii baa inakua kanisa basi baa itakua kanisa" nilifundishwa hivyo nikiwa la sita. Nafikiri kutokana na huu msimamo ndiyo maana wakristo hatukulalamika mpaka BASATA waliposema kwamba video haifai.

Director wa video alijua ugumu uliopo kufanyia shooting msikitini na wahusika wote wanajua huo ugumu.

Turudi kwa BASATA. Tulilalamika kwamba imejaza wazee wakateuliwa wakina Mwana FA kisha komedi zile zile zinaendelea. Wimbo una mwezi watu washauona ndiyo wanaufungia, nataka kujua kama BASATA hua wanaziangalia videos za singeli.

Anyway, mwezi inamaanisha watu zaidi ya laki 5 wameshauona kwahiyo hii ni kazi bure hapa. Ili isiwe kazi bure niliwahi sema zitolewe kanuni na taratibu za kufuatwa pindi msanii anapotaka kufanya video au kutunga wimbo. Ama la, msanii awasilishe kazi zake zipitiwe kabla hazijawa released public, ama la BASATA iwe na maofisa ambao wataambatana na msanii katika kuisimamia video husika mwanzo mpaka mwisho.

Pengine itasaidia kupunguza nyimbo kufungiwa.
 
Yesu Kristo alienda msalabani ili mimi na wewe tusihukumiwe. Alifanyika laana ili sisi tuwe baraka. Kupitia yeye tunao uzima wa milele.

Kuna siku utauhitaji sana msamaha wa Yesu Kristo na itakuwa too late kwako. Nakuombea rehema za Mungu na roho ya unyenyekevu ili uipokee neema hii wakati ukiwa bado na nafasi.

Asubuhi iliyo njema inakuja, hapo wote waliomkubali Bwana Yesu watakapokuwa pamoja naye milele mbali na shida na mateso ya dunia hii.

Yesu anakupenda sana FaizaFoxy
Wewe huo ni ujinga wa hali ya juu. Yesu mwenyewe msalabani alikuwa analia Mungu asimwache itakuwa wewe.


Dhanna hiyo ndiyo inawafanya muibe, mfanye dhambi, muwe wa jinga, mmejazwa ujinga mkaukubali, thubutu dhambi zako zibebwe na mwingine. Mnajidanganya tu.

Mtu akuibie, halafu wewe umuue mwanao ili umsamehe yule mtu? Ujuha huo.
 
Kama angelianzia kushutia msikitini, haya yote yasingelitokea!
Wimbo wangu ujao ntafanya ku-shoot-ia msikitini nione reaction itakayokuwepo!
Kwa msikitini kelele na maandamano makubwa sana yangetokea. Wale watu hawana maskhara kwenye imani yao. Choka quran tu mtaani kwenu usikie mziki. Christians tu wanyenyekevu sana
 
Ukiongozana na mpumbavu nawe utakuwa mpumbavu
Ukiongozana na Mwerevu nawe utakuwa mwerevu
Wapumbavu wamekuwa wengi
Apeleke upumbavu wake huko eti nchi ina wenyewe... whawhawhatttttt?
Tumefikia huku?
Hii ndio ile unakuwa na kipaji halafu huna akili
 
Wakristo tunajijua ama niseme tunajulikana. Hua hatuna mambo mengi pindi majengo yetu ya ibada yanapotumiwa katika miziki au hata miziki inapoashiria kinachofanywa hapo kinahusiana na dini ya kikristo.

Ndiyo maana hata wasanii wanaona dini ambayo wafuasi wake hawatokurushia mawe ni Ukristo. Wanamuziki wengi wameimbia kanisani, ndani na nje ya Tanzani, Amini ameshoot video kanisani, Mwana FA ameshoot video kanisani, Dudubaya ameshoot video kanisani, Banana ameshoot video kanisani, GK alishirikisha dini ya kikristo, Shaggy kashuti kanisani na Pastor akaonyeshwa ananyonga, T Pain akashut kanisani na wakapageuza dance floor.

Sasa tusiwajudge hao wa nje kwakua wana uhuru mkubwa kutuzidi. Sisi wakristo wa Tz huu wimbo tangu umetoka hakuna siku nilisikia malalamiko, mimi wimbo nimeuona jana lakini hata kama ningeuona kabla bado nisingelalamika.

Kwanini?

Kanisani tunafundishwa kwamba "Kanisa siyo jengo. Lile jengo linaweza likabomoka, linaweza tumiwa kufanya uasherati, kuimbia miziki. Kanisa siyo jengo kanisa ni Wewe. Kama Wewe ukaamua kwamba hii baa inakua kanisa basi baa itakua kanisa" nilifundishwa hivyo nikiwa la sita. Nafikiri kutokana na huu msimamo ndiyo maana wakristo hatukulalamika mpaka BASATA waliposema kwamba video haifai.

Director wa video alijua ugumu uliopo kufanyia shooting msikitini na wahusika wote wanajua huo ugumu.

Turudi kwa BASATA. Tulilalamika kwamba imejaza wazee wakateuliwa wakina Mwana FA kisha komedi zile zile zinaendelea. Wimbo una mwezi watu washauona ndiyo wanaufungia, nataka kujua kama BASATA hua wanaziangalia videos za singeli.

Anyway, mwezi inamaanisha watu zaidi ya laki 5 wameshauona kwahiyo hii ni kazi bure hapa. Ili isiwe kazi bure niliwahi sema zitolewe kanuni na taratibu za kufuatwa pindi msanii anapotaka kufanya video au kutunga wimbo. Ama la, msanii awasilishe kazi zake zipitiwe kabla hazijawa released public, ama la BASATA iwe na maofisa ambao wataambatana na msanii katika kuisimamia video husika mwanzo mpaka mwisho.

Pengine itasaidia kupunguza nyimbo kufungiwa.
Mkuu unakumbuka Yesu alifanya nini pindi kanisa lilipokuwa linageuzwa soko?
 
Wewe huo ni ujinga wa hali ya juu. Yesu mwenyewe msalabani alikuwa analia Mungu asimwache itakuwa wewe.


Dhanna hiyo ndiyo inawafanya muibe, mfanye dhambi, muwe wa jinga, mmejazwa ujinga mkaukubali, thubutu dhambi zako zibebwe na mwingine. Mnajidanganya tu.

Mtu akuibie, halafu wewe umuue mwanao ili umsamehe yule mtu? Ujuha huo.
Hivi Bi mkubwa una shida gani hasa? Mbona muda wote ni kufoka foka tu!
 
Kwahyo mkuu mkristo akijifunza hizo taratibu akachukua udhu fresh akaingia kushoot video yake ya wimbo wa singeli...mtaruhusu?
Msikitini si mahala pa kuomba,kanisani huwa Pana kwaya na sebene zaidi ya vurugu za singeli
 
Wewe huo ni ujinga wa hali ya juu. Yesu mwenyewe msalabani alikuwa analia Mungu asimwache itakuwa wewe.


Dhanna hiyo ndiyo inawafanya muibe, mfanye dhambi, muwe wa jinga, mmejazwa ujinga mkaukubali, thubutu dhambi zako zibebwe na mwingine. Mnajidanganya tu.

Mtu akuibie, halafu wewe umuue mwanao ili umsamehe yule mtu? Ujuha huo.
Kwa mfano huo uliotoa inaonesha huelewi alichofanya Mungu. Aliibiwa kitu gani hadi amtoe mwanaye?

Faiza, umewahi hata mara moja kukaa peke yako ukatafakari kuhusu Yesu Kristo bila kuzingatia mafundisho uliyopewa tangu utoto wako.

Mwaka 2009 mimi nilipata nafasi ya kufanya tathmini ya imani mbalimbali na hasa ukristo na uislamu. Hii ni ile objective study without prejudices.

Hitimisho langu lilikuwa dhahiri juu ya kile Mungu alifanya katika Kristo Yesu. Nilisikiliza hoja mbalimbali na midahalo ya wasomi na nikaelewa hasa mahali ambapo waislamu wanakwama kuelewa alichokifanya Yesu.

So mimi nakuelewa sana madam na ninajua ambavyo ni changamoto sana kukubali wokovu wa Yesu kwasababu tangu madrasa ulifundishwa kuukataa.

Kwa moyo wa dhati kabisa ninakuombea kwa Mungu ili upate nafasi ya kutafakari kile Mungu alifanya katika Kristo Yesu.

Msikilize Dr Myles Munroe YouTube akiongelea masuala kama , why Jesus had to die, origin of death, etc

Amani iwe nawe.
 
Kwa mfano huo uliotoa inaonesha huelewi alichofanya Mungu. Aliibiwa kitu gani hadi amtoe mwanaye?

Faiza, umewahi hata mara moja kukaa peke yako ukatafakari kuhusu Yesu Kristo bila kuzingatia mafundisho uliyopewa tangu utoto wako.

Mwaka 2009 mimi nilipata nafasi ya kufanya tathmini ya imani mbalimbali na hasa ukristo na uislamu. Hii ni ile objective study without prejudices.

Hitimisho langu lilikuwa dhahiri juu ya kile Mungu alifanya katika Kristo Yesu. Nilisikiliza hoja mbalimbali na midahalo ya wasomi na nikaelewa hasa mahali ambapo waislamu wanakwama kuelewa alichokifanya Yesu.

So mimi nakuelewa sana madam na ninajua ambavyo ni changamoto sana kukubali wokovu wa Yesu kwasababu tangu madrasa ulifundishwa kuukataa.

Kwa moyo wa dhati kabisa ninakuombea kwa Mungu ili upate nafasi ya kutafakari kile Mungu alifanya katika Kristo Yesu.

Msikilize Dr Myles Munroe YouTube akiongelea masuala kama , why Jesus had to die, origin of death, etc

Amani iwe nawe.
Hakuna cha kumtoa mwanawe wala nini, wewe unafata mafundisho ya binaadam siyo ya Mungu.

Mungu hahitaji kafara ya binaadamu wala ya mnyama. Hayo ni mambo ya kichawi.

Nyie mpaka leo mnakula nyama ya binaadamu na kunywa damu yake, bisha! Kama si uchawi ni nini huo?
 
Hakuna cha kumtoa mwanawe wala nini, wewe unafata mafundisho ya binaadam siyo ya Mungu.

Mungu hahitaji kafara ya binaadamu wala ya mnyama. Hayo ni mambo ya kichawi.

Nyie mpaka leo mnakula nyama ya binaadamu na kunywa damu yake, bisha! Kama si uchawi ni nini huo?
Soma Quran 37:107
And We ransomed his son with a great sacrifice
 
Soma Quran 37:107
And We ransomed his son with a great sacrifice
Wacha kudanganya wewe. Weka source ya hu uharo wako. Soma:

(37:107) And We ransomed him with a mighty sacrifice, 66. “A great sacrifice”: A ram, as mentioned in the Bible and the Islamic traditions, that Allah's angel presented at the time before the Prophet Abraham (peace be upon him), so that he should sacrifice it instead of his son.

Source: Surah As-Saffat Ayat 107 (37:107 Quran) With Tafsir
 
Back
Top Bottom