sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,528
- 7,381
Msanii namba moja Tanzania Diamond Platnumz anaendelea kumkimbiza msanii namba mbili Tanzania Rayvanny.
Licha ya Diamond kutoachia wimbo hivi karibuni, bado anaendelea kumpa wakati mgumu mpinzani wake halisia kimuziki Rayvanny.
Pia tunaona anajitokeza mara zote kwenye charts msanii chipukizi ila mwenye kufatiliwa sana aitwae Macvoice, ambae wataalam wa kiwanda cha burudani wanasema investment yake imelipa.
Licha ya Diamond kutoachia wimbo hivi karibuni, bado anaendelea kumpa wakati mgumu mpinzani wake halisia kimuziki Rayvanny.
Pia tunaona anajitokeza mara zote kwenye charts msanii chipukizi ila mwenye kufatiliwa sana aitwae Macvoice, ambae wataalam wa kiwanda cha burudani wanasema investment yake imelipa.