Diamond kila anapomsaini msanii kwenye lebo yake halafu akaona mwanamziki ana nyimbo nzuri lazima atataka yeye ndie awe muhusika wa juu/ main character kuliko hata mwenye nyimbo.
Kafanya hivyo kwa Hamonize kwenye nyimbo ya lakini bado na kwa ngwaru.
Kafanya hivyo kwenye wimbo wa enjoy nk. Akiona wimbo hautatoboa ndipo anamuachia msanii aimbe mwenyewe.
Ndio maana Hamonize aliona huu ni ujinga mkubwa.
Kafanya hivyo kwa Hamonize kwenye nyimbo ya lakini bado na kwa ngwaru.
Kafanya hivyo kwenye wimbo wa enjoy nk. Akiona wimbo hautatoboa ndipo anamuachia msanii aimbe mwenyewe.
Ndio maana Hamonize aliona huu ni ujinga mkubwa.