Diallo amlipua Lowassa

Hili suala la maji ya ziwa Victoria hata Fredrick Sumaye anadai yeye akiwa waziri mkuu ndiye aliyesimamia lahau lah lakwata bado Magufuli atakuja na daraja la Kigamboni mwakyembe nae atakuja na bandari ya Bagamoyo ukigeuka huko yupo Sitta atakuja na katiba mpya.
 

Hiyo ndiyo CCM "nambari wani" !!!!!
 

Mkuu, hivi huwezi kuandika post yako bila kumtaja Membe? By theway simpendi Lowassa wala Membe…kwani imani yangu inanituma au kuniambia kuwa KUIKATAA CCM NI KIPIMO TOSHA CHA AKILI ila wewe umezidi kuniboa kwa kila post yako kutaja jina la Membe.
 
Mkuu, hivi huwezi kuandika post yako bila kumtaja Membe? By theway simpendi Lowassa wala Membe…kwani imani yangu inanituma au kuniambia kuwa KUIKATAA CCM NI KIPIMO TOSHA CHA AKILI ila wewe umezidi kuniboa kwa kila post yako kutaja jina la Membe.

Sasa hao ndio wanaofahamika kuutaka uraisi wa nchi 2015. Kumbe akuongelee wewe ambae hujatangaza nia. Kumchukia Membe au Lowasa hayo ni matatizo yako binafsi ila watajadiliwa na wengineo watakaotangaza nia kama kina Wassira na Makamba. Au ulitaka uyasikie majina hayo ya mwisho tu. Kwanza huyo Membe bado anasubiri kuoteshwa kama agombee au la.
 
Diallo ni mnafiki na mwongo wa hali ya juu..hana hoja hata kidogo na apuuzwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…