Diagnosed with Rheumatic fever

Diagnosed with Rheumatic fever

Mkuu tiba yake ni ipi?? tofauti na hizo injection, maana nachoma ila sisikii nafuu
Zile injection zinauma sana.hadi ukizifkiria unaumwa zaidi.
Pole sana mkuu mungu ni mwema simu zote.atakupigania utapona usikate tamaa.jaribu kwenda JK pale wakukague vizuri
 
Zile injection zinauma sana.hadi ukizifkiria unaumwa zaidi.
Pole sana mkuu mungu ni mwema simu zote.atakupigania utapona usikate tamaa.jaribu kwenda JK pale wakukague vizuri
Mkuu acha tu zile sindano zinauma sana hapa tarehe moja nawaza naenda kuidunga tena. Inachomwa makalio yote. Hua nashinda nimelala nikiichoma maana mwili unanyongonyea miguu inakua haina nguvu.
 
Pole sana mkuu, ila Mungu ni mwema kwa watu wake na azidi kukuponya🙏

Nimejikuta nashindwa kucomment chochote zaidi ya kukupa pole na kumwomba Mungu akufanyie wepesi na uponyaji...
Ahsanteni wakuu.
Ukiniona huwezi jua kama naumwa kabisa, utaona tu nilivyolegea mwili
Ila kuongea na kutembea nipo kawaida huwezi jua. Ila ndani mwangu ndio hivo kunamomonyoka taratibu, hapa kichwa na kifua kinauma hadi nasikia macho mazito
 
Pole mkuu.
Amini hautakufa bali utaishi.
Mungu ni mwaminifu na anaweza kufanya mambo yote hata ambayo yameshindikana kwa wanadamu.

Endelea kuomba,usiogope
Ondoa hofu kabisa.

Nakuombea MUNGU akufanyie wepesi,utimize malengo yako,

Mungu akutunze sana uje uone watoto na wajukuu zako,hata vitukuu.

Usiogope mkuu, usiogope.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsanteni wakuu.
Ukiniona huwezi jua kama naumwa kabisa, utaona tu nilivyolegea mwili
Ila kuongea na kutembea nipo kawaida huwezi jua. Ila ndani mwangu ndio hivo kunamomonyoka taratibu, hapa kichwa na kifua kinauma hadi nasikia macho mazito
Aisee mkuu😪😪 pole sana na dawa za maumivu vipi hazikusaidii japo kidogo ? Pole sana
 
Pole sana ndugu yangu nimeskitika sana kwa kinachoendelea kwenye maisha yako.

From now on start to live your happy life,live the life you dreamed of. We love you bro ugua pole.
 
mkuu..kabidhi maisha yako kwa Bwana Yesu hakika yeye ndiye atakae kuponya
 
Mmh!! This pain much..pole sana asee Mwenyezi Mungu mueza wa yote, mwingi wa rehema na mukombozi wetu ashughulike na afya! Katika jina la Yesu.
 
Rheumatic fever can cause permanent damage to the heart, including damaged heart valves and heart failure. Treatments can reduce damage from inflammation, lessen pain and other symptoms, and prevent the recurrence of rheumatic fever
Uwe una-acknowledge source. Ni uhalifu kuchukua kazi au andiko la mtu na kulitumia bila ya kukiri ulipolipata. Kikwetu tunaita plagiarism, Kiswahili wanaita ubwakuzi na wengine wanaita ugigisi


 
Pole sana ndugu yangu nimeskitika sana kwa kinachoendelea kwenye maisha yako.

From now on start to live your happy life,live the life you dreamed of. We love you bro ugua pole.
Najitahidi ila kila nikikumbuka uhalisia wa hali nanyongonyea kabisa. Maisha yenyewe yapo wapi ya kuinjoi basi
 
Pole mkuu.
Amini hautakufa bali utaishi.
Mungu ni mwaminifu na anaweza kufanya mambo yote hata ambayo yameshindikana kwa wanadamu.

Endelea kuomba,usiogope
Ondoa hofu kabisa.

Nakuombea MUNGU akufanyie wepesi,utimize malengo yako,

Mungu akutunze sana uje uone watoto na wajukuu zako,hata vitukuu.

Usiogope mkuu, usiogope.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu imani kwa Mungu imeshaanza kuyeyuka kabisa ajili ya matatizo kibao aliyonipatia
 
Mkuu imani kwa Mungu imeshaanza kuyeyuka kabisa ajili ya matatizo kibao aliyonipatia
Mkuu Kama una imani ya MUNGU hata chembe tu amini nakuambia utapona kabisa...
Jaribu kuhudhuria kwenye ibada za makanisa ya kilokole bila kusahau kutumia vifaa vya kiroho
 
No I can't do this. Nilikua na mwanamke mmoja ninayempenda kwa dhati ndio mwanamke pekee nilietamani kuzaa nae, Nilitamani kama nikufe nife nikiwa nampenda yeye tu ila aliniacha. Sina haja ya kupenda mwingine tena maana hali yangu sio nzuri sana. Kama hatakua mwanamke huyo siwezi zaa labda itokee miujiza nipone au niweke moyo bandia

Mkuu huu ni wakati wa kua karibu na Mungu.. Hamna kitu kinachoshindikana punguza mawazo, ongea na watu wanaokupenda na unaojisikia faraja ukiwa nao karibu
 
Mkuu huu ni wakati wa kua karibu na Mungu.. Hamna kitu kinachoshindikana punguza mawazo, ongea na watu wanaokupenda na unaojisikia faraja ukiwa nao karibu
Mtu naesikia faraja kua nae karibu hataki hata kuniona wala kunisikia
 
Back
Top Bottom