Dhumuni la chapa "666"

Dhumuni la chapa "666"

Kwa maelezo yako kuna kikundi tu ndio kinaweza kusoma na kuelewa biblia kwa sababu hicho kikundi Mungu amekijaalia kuelewa , nakuuliza swali mimi ambaye sio katika sehemu ya kikundi hicho nikiisoma biblia naweza kuielewa au siwezi kuielewa ?
Vipi nikiwa sio miungoni mwahiko kikundi nitaukumiwa kwa sheria hipi ikiwa akutaka mwenyewe nijue hiyo kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi imani za enzi za zama za mawe za kati bado zipo tu?

Tafuta hela, acha kusingizia imani zisizo na application. Matajiri wa Marekani ndio wanakununulia mpk chandarua halafu unalaumu source yao ya pesa? Hujui Zeff Bezos kama biashara ya Amazon inamlipa vp? Wht abt Bill Gates ma Microsoft?

Tusake hela, imani zisitupotoshe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ata hili unataka tulitolee mifano , Mungu mbaguzi ndio maana aliwapendelea Waisrael kuliko watu wengine , mbona liko wazi
Kawapendelea wapi?? Kibiblia mbona neema ipo kwa watu wote. Hapo mwanzoni according to bible dunia nzima ilikuwa inamuabudu Mungu rejea Adam na Noah.... Ila baada ya Kuja Nimrod dini za kipagan zikasambaa dunia nzima na wote wakamuacha Mungu alibakia tu Shem na kizazi chake ambako ndio Abraham alitokea.

Hivyo kwa kuwa Abraham alikuwa mwaminifu kwa huyo Mungu yaani YAHWEH ndio akaamua kuweka naye mkataba huu

Mwanzo 12:1-3
1 BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
2 nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.


Kwahiyo Israel ilikuwa great sio sababu ya kupendelewa bali sababu ya kurithi baraka za Abraham.

Lakini hio ilikuwa agano la kale kwa sasa dunia nzima wamekua wana wa Abraham as long as wanafuata imani ya Mungu wa Abraham yaani YAHWEH

Galatia 3
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

Kwa maelezo zaidi soma huu uzi wangu utapata mbili tatu kuwa Israel haipendelewi bali wote tupo sawa na hta kuwazidi kwa mbali sana kwenye macho ya MUNGU.

 
Hizi imani za enzi za zama za mawe za kati bado zipo tu?

Tafuta hela, acha kusingizia imani zisizo na application. Matajiri wa Marekani ndio wanakununulia mpk chandarua halafu unalaumu source yao ya pesa? Hujui Zeff Bezos kama biashara ya Amazon inamlipa vp? Wht abt Bill Gates ma Microsoft?

Tusake hela, imani zisitupotoshe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mleta mada kakuomba msaada wa hela? Au unajuaje kama ana hela yumkini kukuzidi wewe ambaye bado unazitafuta(maana umesema tusake hela).
 
Mkuu kama nimekuelewa hv!
Mkuu sitaingia sana kwenye mada yako nzito ila nitashauri tu ujipe muda wa kusoma hata basics za theolojia kabla ya kujenga hoja yoyote ndani ya Biblia. Narudia tena bible is figurative yaani lugha ya mafumbo sio lateral kwamba wakisema chapa basi ni chapa kma wanayowekewa ng'ombe.

Mfano Bible ikisema huwezi UZA au KUNUNUA bila hiyo chapa!! Ila kuuza na kununua kibiblia ni kiroho zaidi sio kimwili jikumbushe.

Isaya 55:1
1 Haya, kila aonaye kiu, njoni majini,Naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle;Naam, njoni, nunueni divai na maziwa,Bila fedha na bila thamani.

Isaya anaita watu wasio na pesa wanunue chakula!! mtu bila Pesa utawezaje kununua chakula na maji ?? Simply ina maanisha ni FUMBO!! Na ukisoma Agano jipya Yesu pia alirudia hii statement.

Nachomaanisha hapa ni kwamba Bible imejaa mafumbo hivyo usiitafsiri kama ilivyo maana ukisema 666 ni chata kama Bar Code je utaelezeaje mwanamke wa Ufunuo ambaye Atalivaa JUA kma nguo na atatembelea MWEZI kwenye mguu..... Ama Mvinyo wa babeli wa Ufunuo 18 ambao dunia nzima umekunywa je ina maana wote tumewahi kunywa mvinyo!!! Ila mbona bible inasema DUNIA nzima imekunywa!!!

Kukusaidia tu 666 imeongelewa mara mbili tu kwenye Bible kwenye ufunuo na kwenye utawala wa mfalme suleiman..... Ukielewa kisa cha mfalme suleiman kuhusu namba 666 ndio utaweza connect dots na ufunuo na Biblia ndio ipo hivo ili uelewe mstari mmoja ni lazima usome mwingine.

Mfano ufunuo 12 unasema lile Joka lina mkia utakaoangusha nyota..... Sasa ukiconnect dots utagundua nyota 7 zimeelezewa tokea Ufunuo 1:20 na Mkia umelezewa Isaya 9:15 kuwa ni Nabii wa uongo so mpaka hapo hakuna JOKA kama JOKA wa kimwili!!! Ila lilikuwa fumbo tu.

Na sio mimi nayesema biblia ni lugha ya mafumbo bali ni Mungu mwenyewe someni Zaburi 78:2 hivyo ni muhimu sana tuelewe lugha ya mafumbo ndio tutaweza elewa biblia hasa ufunuo.

Shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbukumbu yangu inaniambia ni 5% ya wamarekani ndio wanamiliki uchumi wa Marekani
Miaka ya karibuni kumekua na ukuaji wa cashless technology, na kuna nchi za Scandinavia ziko katika mpango wa kuondoa ela zote katika jamii zao japokua bado hawajafanikiwa Kwa 100%.

Na ukuaji wa application ya blockchain-bitcoin ni dhahiri miaka ijayo tutakua na jamii isiyotumia ela kabisa, japokuwa inatakiwa ifanyiwe ubunifu mkubwa. Cashless society itamrahishishia mwenye chapa ya 666 kutawala dunian atatawalaje sasa ilo ndo swali

Mfano recently tumeona hata watu wachache matajiri wana miliki utajiri Mkubwa huku watu walio wengi wakiishi Kwa kuunga unga, mfano uchumi wa marekan unashikiliwa na 1% ya watu. Kiuchumi ni kitu kibaya lakin hata kiroho ni hatari sana Kwa watu wachache kuwa na nguvu za kupindikia, Kwa hy watatokea kikundi cha watu wachache wenye utajiri mkubwa sana wataanzisha chapa ya 666.

Chapa ya 666 itachukua nguvu yote ya fedha na kuiweka sehemu moja, sote tunajua mwenye ela ndo mwenye nguvu hata marekani INA nguvu Kwa sababu GDO yao ni kubwa na sio majeshi, Kwa sababu mwenye ela ndo anayesikilizwa hata kwenye familia ukiwa na Mdogo nwenye ela yeye atashikilizwa kuliko wenzake "hekima ya masikin haisikilizwi"

Baadhi ya nguvu ya fedha, ni manunuzi, ulinzi, hizo in baadhi tu, Kwa hy 666 itachukua nguvu zote za fedha na kuiweka kwenye hii chapa, Kwa hy hakuna chochote utakachonunua bila ya kuwa na hii chapa.

Na ili chapa ya 666 ifanye kazi lazima kuwe na maendeleo ya science na technology kama bitcoin ya hali ya juu ili kuondoa matumizi ya pesa kwanza ili kuwe na cashless technology, Kwa sahiv haiwez kufanya kazi Kwa sababu hatuja fikia level ya science na teknolojia ya kiwango cha juu itakayoiwezesha kufanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Religion ni cancer kwa maskini was kiafrika..
 
kiroho namba 666 imeshaanza kufanya kazi na ndiyo inayofanya kazi mpaka sasa, ila imani zinatufunga kwa kutupa 'Illusion Hope' kwamba haya mambo yatatokea nyakati zijazo ambapo simba mwenye vichwa saba sijui joka lenye vichwa kumi litatoka baharini.. kwa hiyo waamini wengi wanasubiria hayo mabeast yatokee baharini they can't connect phenomenon of the myth to the reality. Mambo yote yaliyoandikwa kwenye biblia ndiyo yanayendelea now, ila mambo hayo (yaani namba 666) mwisho wake umekaribia ila sio mwisho ule wa dunia kukunjwa kama karatasi ni kiroho. Japo mwisho huo utakuwa destructive utakuwa destructive, 'only the fittest will survive' kama sio kimwili basi kiroho
My spiritual ones know what I mean
lmmortality
"know thyself"
 
Mkiambiwa someni hesabu hamtaki mnakimbia mnataka vitu laini
Ila namba zina maana sana ktk maisha
666 namba of beast
999 namba of God
Kwa hiyo ni hesabu ndogo sana kutokana hapo kuna nguvu mbili zinazopishana nyinyi mnaziita mungu na shetani
 
Mkiambiwa someni hesabu hamtaki mnakimbia mnataka vitu laini
Ila namba zina maana sana ktk maisha
666 namba of beast
999 namba of God
Kwa hiyo ni hesabu ndogo sana kutokana hapo kuna nguvu mbili zinazopishana nyinyi mnaziita mungu na shetani
Sorry, Nakusahihisha, namba 7 ndiyo namba ya Mungu iliotimia na Namba 6 ni namba isiyotimia ambayo inatumika na shetani. Kwahiyo ukisema 777( Maana yake ni Mungu ni Mkamilifu, Mkamilifu, Mkamilifu kwa kuwa aliumba dunia kwa siku 7), ukisema 666(Maana yake Mungu hakutimia, hakutimia, hakutimia ambayo inamuwakilisha shetani). Kwahiyo Shetani kiufupi ni 666, na yeyote afanyaye maovu duniani hakutimia kwahiyo ni 666. Ukiwaza Ushetani hiyo ndio chapa ya 666 kwenye paji la usoni, na ukitenda kazi au kuunga mkono kazi za kiovu Maana yake ni Chapa ya mkononi ya 666. Mwenye hekima na hafaham.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu yupi huyo aliyetoa maagizo kimafumbo mkuu...??

Watu walioelewa maana kaamili ndo waligeuza na kuyaachia maandiko katika mfumo mgumu kwa manufaaa flani...

The codes inside signify something trending...

Matokeo ya huo mfumo wa kutoeleweka kwa wengi ndo matokeo ya wewe kuandika hapa JF na mimi kuandika hapa katika mawazi tofauti...

Huu ulimwengu umejaa codes nyingi sana na wengi tutakufa bila kujua maana kamili na hatujui effects za kufa bila kujua real meaning ya code zile...

Story zote za kwenye biblia ni story za kusadikika but zimejaaa 100% codes of reality with their meanings hidden..namanisha kuwa hizo story unazosikia mara nikamwona joka sijui kafanya nini...sio kwamba kuna joka kweli but kuna kitu kinajaribu kuelezewa kwa mfumo flani......only codes to reveal the truth...

Mnaokaa na kukesha kulaumu eti kwanini mungu aliweka maandishi katika mafumbo sio Mungu but early people who discovered the truth behind nature governing existance ndo waliamua kufanya hivo...

Ukikaa ukajua maana kamili ya maneno yale na jinsi ukweli unavyofanya kazi hutakaa kulaumu kuwa kwanini code zimetawala...

Naunga mkono kwa 100% juu ya uwepo wa codes katika maisha specifically human nature with it's surviving ability...bila hivyo mambo yasingekuwa hivi...

Early people had a real meaning to make so....kila nafsi ipate kushuhudia ukweli katika ile self conscious ability ya mtu husika bila kudanganywa....

The matrix reality is very conspicous kwa mwelevu but it is very ambiguos kwa asiyejua chochote...

Life is about surviving within the matrix of simulation.....
its about unlocking codes of reality....

We survive under layers of understanding.....


If the reality could be exposed to every one ,hopeful the universe could collapse ....

We are balanced because of Knowlege and Ignorance ....


The two keep human and other species at balance...






Sent using Nokia 8 Plus
Exactly 100%+
 
Mkiambiwa someni hesabu hamtaki mnakimbia mnataka vitu laini
Ila namba zina maana sana ktk maisha
666 namba of beast
999 namba of God
Kwa hiyo ni hesabu ndogo sana kutokana hapo kuna nguvu mbili zinazopishana nyinyi mnaziita mungu na shetani
Try to rotates those figure clockwise at 180dgrs.
Argument yako iko sawa iwapo utamirror either of the two.
 
Back
Top Bottom