thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,802
- 4,694
Kuhusu Darwin 4 sikufuatilia, lakini Kama ni moja ya hizo exoplanet hiyo basi hilo linawezekana kwa sababu mpaka sasa kuna sayari zaidi ya 1000 ambazo ni earth like.Mkuu nimekuelewa kuhusu function mojawapo za kwleppler telescope ni kudetect exoplanetary from out of our galaxy ambazo zinasaport life swali langu kuhusu Darwin 4 naona hujanijibu alafu baada ya hapo naomba kuku uliza kuwa umbali wa light za star ni mkubwa sana je ili kubypass ili kuona frontal view katika kuzoom universe ni jinsi gani keppler ina work maana ni naamini ningumu sana kudetermine planets ambazo ziko very close to star naomba nieleweshe mkuu kwani kuna reserch moja nafanya ya kiofisi kuhusiana na extraterrestal life out there.
Kuhusu telescope hiyo kuzidetect hizo sayari unapaswa uwelewe muundo wa hiyo Kepler yenyewe ilivyoundwa unaweza tafuta mwenyewe mi nitaeleza kwa jinsi ninavyoelewa kwa kifupi.
Kepler ina image sensor ambazo in pixels zake zinafikia 95m halafu kuna mirror inaitwa primary mirror ambayo imetengenezwa kwa glasi ambazo ni utra low expansion, sasa basi ili kuwa na sensitivity kubwa kuzigundua hizo sayari ni pale ambapo zinapita mbele ya hiyo nyota husika hivyo imewabidi ile primary mirror waivalishe kitu kinaitwa reflectance coating ili kuwa na uwezo mkubwa wa kusense hivyo kwa msaada wa ion assisted evaporation pia na surface optic Corp inakuwa ni rahisi kuweza kudetect hizo sayari. Basi mi sijaelewa unaposema kwamba ni ngumu kudetermine sayari zilizo karibu na nyota.