Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,446
- 829,809
Tumetoka kwenye zama za siasa za fitina, siasa za majitaka, siasa za uongo na kusingiziana... Siasa za propaganda na mashindano ya hoja mitandaoni na kwenye majukwaa....
Tuko kwenye zama za ukatili mkuu mateso na unyama... Hakuna KUBISHANA kwa hoja tena... Hakuna kuvumiliana tena hakuna maridhiano.... Kinachoendelea ni ushetani... Hakuna kupinga wala kukosoa... Ukisalimika sana ni kifungo....
Tuko kwenye nyakati za hatari mno kukichwa kukicha hatujui hatima yetu ni ipi au nani atafuatia... Sasa kwa hali ilivyo ni vema kubadili mbinu na mikakati..
Kwa njia hii tutaokoa vifo vingi
Kwa njia hii tutaokoa majeraha mengi
Kwa njia hii tutaokoa mateso na ukatili mwingi
Kwa njia hii tutaokoa ongekezo la yatima na wajane
Kwa njia hii tutaokoa tutaokoa nguvukazi na think tank kubwa ya taifa
Kuanzia sasa tusijaribu kumzuia yeyote anayeachia nafasi yake kuunga mkono juhudi... Tena ikibidi liwekwe tangazo la wazi kuwa viongozi na wanachama wanaotaka kuhama RUKSAA au tuwaombe list ya wanaowataka kisha tuwaandae na kuwasindikiza kwa maturumbeta...
Hivi tunavyojifanya tunaumia wao ndio furaha yao... Tusiumie tena tuwape tena wakitaka buree ili pesa ya kuwanunua ielekezwe kwenye huduma za kijamii
Wengi hawahami kwa ridhaa yako.. Wanaambiwa wazi kubali uishi... Kataa ufe... Tuchukue maamuzi ya kihistoria tuwaombe LIST ya wote wanaowataka nasi tutawapa
Tuko kwenye zama za ukatili mkuu mateso na unyama... Hakuna KUBISHANA kwa hoja tena... Hakuna kuvumiliana tena hakuna maridhiano.... Kinachoendelea ni ushetani... Hakuna kupinga wala kukosoa... Ukisalimika sana ni kifungo....
Tuko kwenye nyakati za hatari mno kukichwa kukicha hatujui hatima yetu ni ipi au nani atafuatia... Sasa kwa hali ilivyo ni vema kubadili mbinu na mikakati..
Kwa njia hii tutaokoa vifo vingi
Kwa njia hii tutaokoa majeraha mengi
Kwa njia hii tutaokoa mateso na ukatili mwingi
Kwa njia hii tutaokoa ongekezo la yatima na wajane
Kwa njia hii tutaokoa tutaokoa nguvukazi na think tank kubwa ya taifa
Kuanzia sasa tusijaribu kumzuia yeyote anayeachia nafasi yake kuunga mkono juhudi... Tena ikibidi liwekwe tangazo la wazi kuwa viongozi na wanachama wanaotaka kuhama RUKSAA au tuwaombe list ya wanaowataka kisha tuwaandae na kuwasindikiza kwa maturumbeta...
Hivi tunavyojifanya tunaumia wao ndio furaha yao... Tusiumie tena tuwape tena wakitaka buree ili pesa ya kuwanunua ielekezwe kwenye huduma za kijamii
Wengi hawahami kwa ridhaa yako.. Wanaambiwa wazi kubali uishi... Kataa ufe... Tuchukue maamuzi ya kihistoria tuwaombe LIST ya wote wanaowataka nasi tutawapa
mapambano bado, hainahaja ya kutumia ID halali, mpk watanzania wapate kuelimika