ABBY MAGWAI
Member
- Oct 4, 2011
- 22
- 0
Limekuwa jambo la kawaida kuona silaha [ zinazoitwa za jadi ] kuuzwa hovyo kila mahali na sumu za kuua panya ambazo zina uwezo vilevile za kuua binaadam.Hivi mamlaka zipi zina ruhusu hali hii , watanzania wengi wana msongo mkubwa wa mawazo unapelekea watu kufyafuka na kuwa na hata mawazo za kujitoa roho .Jamani tuangalie hili . Wakati wa usiku mtu anakuuzia sime, kuwe na usajili wa silaha za jadi . ikiwezekana hata wamasai wapokonywe silaha hakuna cha utamaduni ktk hili.au ni maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao ? hebu tufunguke