Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Eti lemahapigi kampeni Arusha na kuamini kuwa ushindi wa madiwani ni sawasawa na ushindi wake.
Hii ni dharau kwa watu wa Arusha na kuhisi kuwa watu wa Arusha hawajitambui.
Ukweli ni kwamba Arusha inachagua maendeleo na sio vurugu.
tena tuna hasira safari hii tutawapiga kipigo kibaya qasenge nyie...