Dharau za Lema kwa wana Arusha!

Dharau za Lema kwa wana Arusha!

Eti Lema hapigi kampeni Arusha na kuamini kuwa ushindi wa madiwani ni sawa sawa na ushindi wake.

Hii ni dharau kwa watu wa Arusha na kuhisi kuwa watu wa Arusha hawajitambui.

Ukweli ni kwamba Arusha inachagua maendeleo na sio vurugu.

Aliyekuwa analeta vulugu Arusha anajulikana na baada ya huyo mtu kuondoka Arusha imekuwa shwari huwezi amini lakini hongera kwa kazi yako nenda kachue buku saba zako siku iende.
 
Lema anatosha....hana haja ya kutuomba kura...wanaarusha tunajitambua....
 
Lema bado ana nafasi kubwa sana ya kuchukua jimbo la Arusha. Anachotakiwa ni kuhamasisha tu vijana wajitokeze kupiga kura. Maana wengi walikata tamaa baada ya MAGUFULI kutangazwa mshindi ingawa wao walimchagua Lowassa. Na kwa kazi hii ya uhamasishaji tunatakiwa kufanya naye! CCM ifutike kabisa Arusha! Bendera ya CCM inatakiwa kuwekwa Makumbusho!
 
Lema bado ana nafasi kubwa sana ya kuchukua jimbo la Arusha. Anachotakiwa ni kuhamasisha tu vijana wajitokeze kupiga kura. Maana wengi walikata tamaa baada ya MAGUFULI kutangazwa mshindi ingawa wao walimchagua Lowassa. Na kwa kazi hii ya uhamasishaji tunatakiwa kufanya naye! CCM ifutike kabisa Arusha! Bendera ya CCM inatakiwa kuwekwa Makumbusho!

Kutwa ulikua unamtukana na kumsema vibaya lema. Ulisema lema kasababisha hadi utalii uyumbe Arusha.

Duuh "mwanangu kua uyaone"
 
Lema hajaleta maendeleo yoyote Arusha zaidi ya vurugu!

Na sasa hivi anaendelea kuprovoke polisi...mwenendo huu hauna manufaa kwa watu wa Arusha.

Unaanzisha mada mwenyewe na kujijibu mwenyewe.
Hivi nyie fisi ile tabia ya kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe bado inawaingizia kipato hapo Lumumba???
 
lusungo umenisoma hapo juu nilivo ku quote?
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa Arusha na nikasikiliza hotuba ya Lema ameeleza mengi aliyofanya. .kubwa alilosema amejenga chama na wamepata viti vingi vya madiwani na wabunge

Halmashauri ya arusha itaongozwa na Chadema hivyo anaomba ubunge wafanye kazi asipotekeleza ahadi wampige chini 2020


Vijembe kwa mpinzani wake vilikuwepo ndio Siasa. ..lakini hilo swala la kuhamasisha vurugu sikulisikia.
 
Huyu Anasema Lema Anayomadharau??.
Ettii apigi kampeni.Kampeni ya Nini??.Wakati Tayari yeye ni Mbunge.Garama za kampeni za Nini.Nchi na kila chama zinaitaji kubana Matumizi.Humuoni hata Rais wa chama chako Anapinga garama zisizo za Lazima.Au wewe ndiyo wa Awamu ya Nne??.
Hapa ni ALLISEMA^^SELEMA SELEMAAA.HALIJA😎😎😎😎😎
 
Back
Top Bottom