Dharau na kiburi cha EQUITY Bank

Ifururu

JF-Expert Member
Dec 28, 2017
549
626
Kwa mara ya kwanza naingia hapa katika benki ya Equity,nashangazwa na mwenendo wa huduma ninazozikuta hapa katika ofisi yao mkoani Morogoro.Kama hapa manispaa huduma zimedorora namna hii,je vipi kuhusu huko vijijini ambapo wana matawi?
Nimekutana na daftari la maoni hapa,inaonesha huwa hawapitii maoni ya wateja wao.

Wateja wengi wanalalamikia suala zima la mikopo,kwamba kuna ucheleweshwaji mkubwa wa mikopo,yaani inachukua mpaka wiki sita mpaka nane kupata mkopo,na hapo ni baada ya kuwa mteja ameshakamilisha taratibu zote za kupewa mkopo.Benki nyingine wanatoa huduma ndani ya saa 24,yaani kama mteja amekamilisha kila kitu basi ndani ya saa 24 ameshachukua chake na kutatua mambo yake.
Kama EQUITY Bank mmeishiwa,mnashindwa kukopesha kwanini msifunge mikopo?
Mnakera wateja wenu.
 
Hela ni zao mkuu kuwa mpole tu

Ila kwa ujumla huduma za kibenki kwa Tanzania ni mbovu sana. Utakuta madirisha ya teller yako sita lakini yanayofanya kazi ni mawili tu. Moja utakuta lina mdada ana kisirani na nyodo za kufa mtu na lingine lina mkaka anayeingia na kutoka non stop. Basi mtakaa hapo weee mpaka mtachoka...na hakuna anayejali...
 
Kwa mara ya kwanza naingia hapa katika benki ya Equity,nashangazwa na mwenendo wa huduma ninazozikuta hapa katika ofisi yao mkoani Morogoro.Kama hapa manispaa huduma zimedorora namna hii,je vipi kuhusu huko vijijini ambapo wana matawi?
Nimekutana na daftari la maoni hapa,inaonesha huwa hawapitii maoni ya wateja wao.

Wateja wengi wanalalamikia suala zima la mikopo,kwamba kuna ucheleweshwaji mkubwa wa mikopo,yaani inachukua mpaka wiki sita mpaka nane kupata mkopo,na hapo ni baada ya kuwa mteja ameshakamilisha taratibu zote za kupewa mkopo.Benki nyingine wanatoa huduma ndani ya saa 24,yaani kama mteja amekamilisha kila kitu basi ndani ya saa 24 ameshachukua chake na kutatua mambo yake.
Kama EQUITY Bank mmeishiwa,mnashindwa kukopesha kwanini msifunge mikopo?
Mnakera wateja wenu.
Kiukweli kwa sasa naona wamezidiwa sanaa kama tawi la mbagala la mikopo bovuuuuuuuuuuuuuu unakamilisha kila kitu afisa anakuzungushaaa tu.zama hizi bora umwambie mtu huna vigezo aendelee kusali.BARAKA WA EQUITY MUNGU ANAKUONA
 
Kwa mara ya kwanza naingia hapa katika benki ya Equity,nashangazwa na mwenendo wa huduma ninazozikuta hapa katika ofisi yao mkoani Morogoro.Kama hapa manispaa huduma zimedorora namna hii,je vipi kuhusu huko vijijini ambapo wana matawi?
Nimekutana na daftari la maoni hapa,inaonesha huwa hawapitii maoni ya wateja wao.

Wateja wengi wanalalamikia suala zima la mikopo,kwamba kuna ucheleweshwaji mkubwa wa mikopo,yaani inachukua mpaka wiki sita mpaka nane kupata mkopo,na hapo ni baada ya kuwa mteja ameshakamilisha taratibu zote za kupewa mkopo.Benki nyingine wanatoa huduma ndani ya saa 24,yaani kama mteja amekamilisha kila kitu basi ndani ya saa 24 ameshachukua chake na kutatua mambo yake.
Kama EQUITY Bank mmeishiwa,mnashindwa kukopesha kwanini msifunge mikopo?
Mnakera wateja wenu.
Kwa nini usibadilishe benki au uchukuwe mkopo sehemu nyingine? Hii ndiyo namna pekee itakayoweza kuwafanya wabadilike. Hivi inaingia akilini mtu unanyanyaswa na kupatiwa huduma mbovu halafu kesho yake unarudi tena pale pale? Go away, wakikosa wateja watabadilika.
 
Kwa mara ya kwanza naingia hapa katika benki ya Equity,nashangazwa na mwenendo wa huduma ninazozikuta hapa katika ofisi yao mkoani Morogoro.Kama hapa manispaa huduma zimedorora namna hii,je vipi kuhusu huko vijijini ambapo wana matawi?
Nimekutana na daftari la maoni hapa,inaonesha huwa hawapitii maoni ya wateja wao.

Wateja wengi wanalalamikia suala zima la mikopo,kwamba kuna ucheleweshwaji mkubwa wa mikopo,yaani inachukua mpaka wiki sita mpaka nane kupata mkopo,na hapo ni baada ya kuwa mteja ameshakamilisha taratibu zote za kupewa mkopo.Benki nyingine wanatoa huduma ndani ya saa 24,yaani kama mteja amekamilisha kila kitu basi ndani ya saa 24 ameshachukua chake na kutatua mambo yake.
Kama EQUITY Bank mmeishiwa,mnashindwa kukopesha kwanini msifunge mikopo?
Mnakera wateja wenu.
Vipi kuhusu atm mkuu maana hapa Dar ni aibu tupu! Benki iko mikocheni tu😅😅😅
 
Kiukweli kwa sasa naona wamezidiwa sanaa kama tawi la mbagala la mikopo bovuuuuuuuuuuuuuu unakamilisha kila kitu afisa anakuzungushaaa tu.zama hizi bora umwambie mtu huna vigezo aendelee kusali.BARAKA WA EQUITY MUNGU ANAKUONA
Nimecheka huyo Baraka, nikajua Rafiki yangu wa Equity Nyerere road.

Kuna jamaa walikopa hapo Equity mnazi mmoja walikuwa wanakatwa na hela bado hawajachukua wanaambiwa bado.
 
Hii bank ipo vema maeneo ya mijini. Lakini pia nadhani na kuhujumiwa ni tatizo.
 
Miji mikubwa kibao tu hawana branches sembuse vijijin.Hicho ni kiji bank tu though huduma zao na nafuu kuliko wengine ila ndio hivyo.
Giant wa pori kwa pori ni NMB tu hata Crdb hapo akasome
 
sababu zilizokufanya uwang'ang'anie Equity kwenye swala la mkopo ndio sababu zinazoifanya Equity kuwa bank bora Afrika mashariki yote alafu kama costumer care haikukuridhisha hapo ulipo sio tatizo la bank nzima ya Equity ni tatizo la tawi ulilopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mara ya kwanza naingia hapa katika benki ya Equity,nashangazwa na mwenendo wa huduma ninazozikuta hapa katika ofisi yao mkoani Morogoro.Kama hapa manispaa huduma zimedorora namna hii,je vipi kuhusu huko vijijini ambapo wana matawi?
Nimekutana na daftari la maoni hapa,inaonesha huwa hawapitii maoni ya wateja wao.

Wateja wengi wanalalamikia suala zima la mikopo,kwamba kuna ucheleweshwaji mkubwa wa mikopo,yaani inachukua mpaka wiki sita mpaka nane kupata mkopo,na hapo ni baada ya kuwa mteja ameshakamilisha taratibu zote za kupewa mkopo.Benki nyingine wanatoa huduma ndani ya saa 24,yaani kama mteja amekamilisha kila kitu basi ndani ya saa 24 ameshachukua chake na kutatua mambo yake.
Kama EQUITY Bank mmeishiwa,mnashindwa kukopesha kwanini msifunge mikopo?
Mnakera wateja wenu.
Lawama zote hizo kumbe kisa ni kutaka kukopa
 
Back
Top Bottom