Dhana ya wanawake kuwa "cheap" ni potofu

Lugumgya

JF-Expert Member
Dec 10, 2019
629
1,997
Ukifuatilia nyuzi nyingi, hasa ule wa kula tunda kimasihara, utagundua kuwa baadhi ya wanaojiita walaji kuwa na dhana ya kwamba wanawake ni cheap ndo maana wanaliwa kwa kile kinachoitwa kimasihara.

Dhana hii ni potofu, kwamba wewe unaekula siyo cheap? U-cheap unaozungumzwa ni dhana tu (stereotype) ambayo inazaliwa kutoka kwenye lugha; kula na kuliwa! Utengamano wa lugha ndo unazalisha upotoshaji huu, wakati ukweli ni kulana! Kama unakula ujue na wew unaliwa! Kama umekula cheaply basi na nawe umeliwa cheaply!

Mtu anasema " Hivi kwa nini Wanawake wa siku hizi mmekuwa 'Cheap' kiasi hiki?" Anauliza hivi akisahau kuwa ndege wafananao ndo wanaruka pamoja! You got her cheaply because you are also cheap!

Lakini pia, kumpata mwanamke kwa urahisi, si lazima awe cheap, is a combination of several factors. Unaweza kuhisi wew ndo umempata cheaply kumbe yeye ndiyo akawa amekupata cheaply.

Unaweza kuhisi umekula kimasihara kumbe wewe ndo umeliwa kimasihara. Lakini kwa kuwa unahisi neno kula ni superior than kuliwa, unajihisi mjanja, na siyo cheap. Wewe pia ni cheap aisee!

Mwanamke ametoka kwao kaenda kukaa bar, anasubiri wanaume cheap, mwanaume cheap unafika unanunua Smirnoff, afu unaenda kulipia lodge mnakulana, nani cheap kati yako na huyo mwanamke?

Dhana ya 'cheapness' inakuja kutokana na socialization na kwamba women are historically and socially disadvantaged but in normal circumstances wao nao kama binadamu wako kwenye mawindo kama tu wanaume walivyo kwenye mawindo, sema mfumo wa jamii ndo unawazingua. So ikitokea amepatikana cheap wake anakukula kimasihara afu wewe naye unakuja kupotosha kuwa umekula kimasihara, wakati wewe ndo umeliwa kimasihara! Eti wewe unajiona uko 'dear' afu yeye yuko 'cheap', hapana!

Mwisho kabisa hakuna mwanamke cheap bila mwanaume cheap. Tusitumie misamiati ya maneno kuwabagaza, huku sisi tukijikweza eti kisa neno "kula na kuliwa" ni kulana tu!

Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weweee nature inamtaka mwanamke awe expensive bhana. Sio lazima gharama ya pesa au vitu ila hata muda walau kidume upate shida kidogo.
Oya tazama jogoo na beberu wanavohangaika. Cheki hata mbwa na mzee Simba wanavohangaishwa. Hiyo ndio nature. Tofauti na hapo mwanamke no cheap tu na wanaliwa kimasihara Kama kawaida. Wewe vp?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weweee nature inamtaka mwanamke awe expensive bhana. Sio lazima gharama ya pesa au vitu ila hata muda walau kidume upate shida kidogo.
Oya tazama jogoo na beberu wanavohangaika. Cheki hata mbwa na mzee Simba wanavohangaishwa. Hiyo ndio nature. Tofauti na hapo mwanamke no cheap tu na wanaliwa kimasihara Kama kawaida. Wewe vp?

Sent using Jamii Forums mobile app
sahihi mkuu, mtoa mada haelewi vizuri kuhusu nature

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weweee nature inamtaka mwanamke awe expensive bhana. Sio lazima gharama ya pesa au vitu ila hata muda walau kidume upate shida kidogo.
Oya tazama jogoo na beberu wanavohangaika. Cheki hata mbwa na mzee Simba wanavohangaishwa. Hiyo ndio nature. Tofauti na hapo mwanamke no cheap tu na wanaliwa kimasihara Kama kawaida. Wewe vp?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha kitu hicho 'nature'! Nature inatengenezwa na jamii! Kinachoitwa Nature ndo kinamtesa mwanamke hadi leo! Kwanza unachokiita nature si nature, ni perception!
Discrimination na oppression is a result of what is so called nature, which is really not nature but myth ambayo pia ni constructed and therefore it can be deconstructed!

Suala la mwanamke kuwa mgumu Kama ni nature nani ameiondoa hiyo nature mpaka waanze kuliwa kimasihara? Kwa mada niliyoisemea, hakuna nature, ni experience!

And mind you, experience is the lowest level of knowledge, inakusaidia kutoa majibu kwa kuangalia Hali ilivyo na si uhalisia!

Utasema mwanaume siwezi kuosha vyombo, kwa sababu nature ni mwanamke ndo anaosha! Nature gani hiyo?

Hakuna nature inayotaka mwanamke awe mgumu wala mwepesi, ila ni mtizamo, na dhana iliyotengenezwa na jamii! Hakuna nature iliyotengeneza mwanaume awe mwepesi! Ni dhana! So don't mix nature and experience!

It's very impossible kwa nature kubadilika! Mfano wa nature ni mwanamke kunyonyesha na kuzaa! Mwanaume kuproduce sperm! Hiyo ndo nature, haibadiliki! Lakn wepesi au ugumu, siyo nature, ni dhana ambayo jamii imetengeneza tu!

Kuchanganya dhana ndo kunatufanya tuje na conclusion za kama hizo! Jambo ambalo ni upotoshaji



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha kitu hicho 'nature'! Nature inatengenezwa na jamii! Kinachoitwa Nature ndo kinamtesa mwanamke hadi leo! Kwanza unachokiita nature si nature, ni perception!
Discrimination na oppression is a result of what is so called nature, which is really not nature but myth ambayo pia ni constructed and therefore it can be deconstructed!

Suala la mwanamke kuwa mgumu Kama ni nature nani ameiondoa hiyo nature mpaka waanze kuliwa kimasihara? Kwa mada niliyoisemea, hakuna nature, ni experience!

And mind you, experience is the lowest level of knowledge, inakusaidia kutoa majibu kwa kuangalia Hali ilivyo na si uhalisia!

Utasema mwanaume siwezi kuosha vyombo, kwa sababu nature ni mwanamke ndo anaosha! Nature gani hiyo?

Hakuna nature inayotaka mwanamke awe mgumu wala mwepesi, ila ni mtizamo, na dhana iliyotengenezwa na jamii! Hakuna nature iliyotengeneza mwanaume awe mwepesi! Ni dhana! So don't mix nature and experience!

It's very impossible kwa nature kubadilika! Mfano wa nature ni mwanamke kunyonyesha na kuzaa! Mwanaume kuproduce sperm! Hiyo ndo nature, haibadiliki! Lakn wepesi au ugumu, siyo nature, ni dhana ambayo jamii imetengeneza tu!

Kuchanganya dhana ndo kunatufanya tuje na conclusion za kama hizo! Jambo ambalo ni upotoshaji



Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi shule asee. Yaani unasema nature NI myth?
 
Hapana, hujanielewa! Nimesema suala nililozungumza, kuhusu ugumu au wepesi wa wa mwanamke si nature, ila ni dhana!

Lakn sijasema kuwa nature ni myth! Read it again brother!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok nimekuelewa. But in reality hichi kinachofanyika Sasa hivi ndio social constructed including usawa na ndoa ya mke mmoja.
Naturally mwanamke ana aibu kwa mwanaume, ana utii kwa mwanaume, ana amini ulinzi kwa mwanaume.
Sema jamii ya Sasa inatumia nguvu nyingi Sana kuleta usawa ikiwemo kuwafanya watoto wa kiume kuwa mashoga. Sorry nimeenda nje ya mada.
 
Ok nimekuelewa. But in reality hichi kinachofanyika Sasa hivi ndio social constructed including usawa na ndoa ya mke mmoja.
Naturally mwanamke ana aibu kwa mwanaume, ana utii kwa mwanaume, ana amini ulinzi kwa mwanaume.
Sema jamii ya Sasa inatumia nguvu nyingi Sana kuleta usawa ikiwemo kuwafanya watoto wa kiume kuwa mashoga. Sorry nimeenda nje ya mada.
usijali mkuu wanajaribu kupoteza nature
 
Ok nimekuelewa. But in reality hichi kinachofanyika Sasa hivi ndio social constructed including usawa na ndoa ya mke mmoja.
Naturally mwanamke ana aibu kwa mwanaume, ana utii kwa mwanaume, ana amini ulinzi kwa mwanaume.
Sema jamii ya Sasa inatumia nguvu nyingi Sana kuleta usawa ikiwemo kuwafanya watoto wa kiume kuwa mashoga. Sorry nimeenda nje ya mada.
Hizi aibu siyo naturally, haumbwi nayo, hazaliwi nayo! Aibu kwa mwanamke anakutana nayo wakati wa malezi na makuzi!
Ule ushupavu wa mwanaume (masculinity) hazaliwi nao, anakutana nao wakt wa makuzi na malezi!

Ndiyo maana jambo fulani likitokea me akalia, ataambiw unalia kama mwanmke, ukichecheka kicheko fulani, utaambiwa unachekaj kama mwanamke hivyo! Kama naturally kingekuwepo kicheko cha mwanamke isingewezeka mwanaume akicheke!

Ukiona jambo limefanyika na jinsia nyingine, ujue hiyo siyo nature! Nature huwa haibadiliki! Kama mwanadamu anatokana na muunganiko wa mbegu za kike na za kiume, lazima zipatikane hizo mbegu ndo apatikane, iwe maabara au sexual intercourse! Hii ndiyo nature!

Hilo la gay and lesbian, linatokana na ukweli kwamba " Individuals create the society but the society shapes individuals"

Na hivyo these are not things of nature but society moral codes! Lakini pia ubaya wa jambo unatoka katika maandiko matakatifu kwamba gay and lesbian ni chukizo kwa Mungu! Kwamba na kila mwanamke na awe na mme wake, na kila mwanaume na awe na mke wake! Kuepuka Sodoma! Na kulinda taratibu zilizowekwa na Jamii, ili kuleta umoja na mshikamano!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifuatilia nyuzi nyingi, hasa ule wa kula tunda kimasihara, utagundua kuwa baadhi ya wanaojiita walaji kuwa na dhana ya kwamba wanawake ni cheap ndo maana wanaliwa kwa kile kinachoitwa kimasihara.

Dhana hii ni potofu, kwamba wewe unaekula siyo cheap? U-cheap unaozungumzwa ni dhana tu (stereotype) ambayo inazaliwa kutoka kwenye lugha; kula na kuliwa! Utengamano wa lugha ndo unazalisha upotoshaji huu, wakati ukweli ni kulana! Kama unakula ujue na wew unaliwa! Kama umekula cheaply basi na nawe umeliwa cheaply!

Mtu anasema " Hivi kwa nini Wanawake wa siku hizi mmekuwa 'Cheap' kiasi hiki?" Anauliza hivi akisahau kuwa ndege wafananao ndo wanaruka pamoja! You got her cheaply because you are also cheap!

Lakini pia, kumpata mwanamke kwa urahisi, si lazima awe cheap, is a combination of several factors. Unaweza kuhisi wew ndo umempata cheaply kumbe yeye ndiyo akawa amekupata cheaply.

Unaweza kuhisi umekula kimasihara kumbe wewe ndo umeliwa kimasihara. Lakini kwa kuwa unahisi neno kula ni superior than kuliwa, unajihisi mjanja, na siyo cheap. Wewe pia ni cheap aisee!

Mwanamke ametoka kwao kaenda kukaa bar, anasubiri wanaume cheap, mwanaume cheap unafika unanunua Smirnoff, afu unaenda kulipia lodge mnakulana, nani cheap kati yako na huyo mwanamke?

Dhana ya 'cheapness' inakuja kutokana na socialization na kwamba women are historically and socially disadvantaged but in normal circumstances wao nao kama binadamu wako kwenye mawindo kama tu wanaume walivyo kwenye mawindo, sema mfumo wa jamii ndo unawazingua. So ikitokea amepatikana cheap wake anakukula kimasihara afu wewe naye unakuja kupotosha kuwa umekula kimasihara, wakati wewe ndo umeliwa kimasihara! Eti wewe unajiona uko 'dear' afu yeye yuko 'cheap', hapana!

Mwisho kabisa hakuna mwanamke cheap bila mwanaume cheap. Tusitumie misamiati ya maneno kuwabagaza, huku sisi tukijikweza eti kisa neno "kula na kuliwa" ni kulana tu!

Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba JF waweke like 100 kwa mpigo... Umeuaaa mkuu
 
Ukifuatilia nyuzi nyingi, hasa ule wa kula tunda kimasihara, utagundua kuwa baadhi ya wanaojiita walaji kuwa na dhana ya kwamba wanawake ni cheap ndo maana wanaliwa kwa kile kinachoitwa kimasihara.

Dhana hii ni potofu, kwamba wewe unaekula siyo cheap? U-cheap unaozungumzwa ni dhana tu (stereotype) ambayo inazaliwa kutoka kwenye lugha; kula na kuliwa! Utengamano wa lugha ndo unazalisha upotoshaji huu, wakati ukweli ni kulana! Kama unakula ujue na wew unaliwa! Kama umekula cheaply basi na nawe umeliwa cheaply!

Mtu anasema " Hivi kwa nini Wanawake wa siku hizi mmekuwa 'Cheap' kiasi hiki?" Anauliza hivi akisahau kuwa ndege wafananao ndo wanaruka pamoja! You got her cheaply because you are also cheap!

Lakini pia, kumpata mwanamke kwa urahisi, si lazima awe cheap, is a combination of several factors. Unaweza kuhisi wew ndo umempata cheaply kumbe yeye ndiyo akawa amekupata cheaply.

Unaweza kuhisi umekula kimasihara kumbe wewe ndo umeliwa kimasihara. Lakini kwa kuwa unahisi neno kula ni superior than kuliwa, unajihisi mjanja, na siyo cheap. Wewe pia ni cheap aisee!

Mwanamke ametoka kwao kaenda kukaa bar, anasubiri wanaume cheap, mwanaume cheap unafika unanunua Smirnoff, afu unaenda kulipia lodge mnakulana, nani cheap kati yako na huyo mwanamke?

Dhana ya 'cheapness' inakuja kutokana na socialization na kwamba women are historically and socially disadvantaged but in normal circumstances wao nao kama binadamu wako kwenye mawindo kama tu wanaume walivyo kwenye mawindo, sema mfumo wa jamii ndo unawazingua. So ikitokea amepatikana cheap wake anakukula kimasihara afu wewe naye unakuja kupotosha kuwa umekula kimasihara, wakati wewe ndo umeliwa kimasihara! Eti wewe unajiona uko 'dear' afu yeye yuko 'cheap', hapana!

Mwisho kabisa hakuna mwanamke cheap bila mwanaume cheap. Tusitumie misamiati ya maneno kuwabagaza, huku sisi tukijikweza eti kisa neno "kula na kuliwa" ni kulana tu!

Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni mawazo na ufafanuzi wa kina sana,hongera kwa uchambuzi murua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifuatilia nyuzi nyingi, hasa ule wa kula tunda kimasihara, utagundua kuwa baadhi ya wanaojiita walaji kuwa na dhana ya kwamba wanawake ni cheap ndo maana wanaliwa kwa kile kinachoitwa kimasihara.

Dhana hii ni potofu, kwamba wewe unaekula siyo cheap? U-cheap unaozungumzwa ni dhana tu (stereotype) ambayo inazaliwa kutoka kwenye lugha; kula na kuliwa! Utengamano wa lugha ndo unazalisha upotoshaji huu, wakati ukweli ni kulana! Kama unakula ujue na wew unaliwa! Kama umekula cheaply basi na nawe umeliwa cheaply!

Mtu anasema " Hivi kwa nini Wanawake wa siku hizi mmekuwa 'Cheap' kiasi hiki?" Anauliza hivi akisahau kuwa ndege wafananao ndo wanaruka pamoja! You got her cheaply because you are also cheap!

Lakini pia, kumpata mwanamke kwa urahisi, si lazima awe cheap, is a combination of several factors. Unaweza kuhisi wew ndo umempata cheaply kumbe yeye ndiyo akawa amekupata cheaply.

Unaweza kuhisi umekula kimasihara kumbe wewe ndo umeliwa kimasihara. Lakini kwa kuwa unahisi neno kula ni superior than kuliwa, unajihisi mjanja, na siyo cheap. Wewe pia ni cheap aisee!

Mwanamke ametoka kwao kaenda kukaa bar, anasubiri wanaume cheap, mwanaume cheap unafika unanunua Smirnoff, afu unaenda kulipia lodge mnakulana, nani cheap kati yako na huyo mwanamke?

Dhana ya 'cheapness' inakuja kutokana na socialization na kwamba women are historically and socially disadvantaged but in normal circumstances wao nao kama binadamu wako kwenye mawindo kama tu wanaume walivyo kwenye mawindo, sema mfumo wa jamii ndo unawazingua. So ikitokea amepatikana cheap wake anakukula kimasihara afu wewe naye unakuja kupotosha kuwa umekula kimasihara, wakati wewe ndo umeliwa kimasihara! Eti wewe unajiona uko 'dear' afu yeye yuko 'cheap', hapana!

Mwisho kabisa hakuna mwanamke cheap bila mwanaume cheap. Tusitumie misamiati ya maneno kuwabagaza, huku sisi tukijikweza eti kisa neno "kula na kuliwa" ni kulana tu!

Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa fikra nzuri uliyonayo
 
Ukifuatilia nyuzi nyingi, hasa ule wa kula tunda kimasihara, utagundua kuwa baadhi ya wanaojiita walaji kuwa na dhana ya kwamba wanawake ni cheap ndo maana wanaliwa kwa kile kinachoitwa kimasihara.

Dhana hii ni potofu, kwamba wewe unaekula siyo cheap? U-cheap unaozungumzwa ni dhana tu (stereotype) ambayo inazaliwa kutoka kwenye lugha; kula na kuliwa! Utengamano wa lugha ndo unazalisha upotoshaji huu, wakati ukweli ni kulana! Kama unakula ujue na wew unaliwa! Kama umekula cheaply basi na nawe umeliwa cheaply!

Mtu anasema " Hivi kwa nini Wanawake wa siku hizi mmekuwa 'Cheap' kiasi hiki?" Anauliza hivi akisahau kuwa ndege wafananao ndo wanaruka pamoja! You got her cheaply because you are also cheap!

Lakini pia, kumpata mwanamke kwa urahisi, si lazima awe cheap, is a combination of several factors. Unaweza kuhisi wew ndo umempata cheaply kumbe yeye ndiyo akawa amekupata cheaply.

Unaweza kuhisi umekula kimasihara kumbe wewe ndo umeliwa kimasihara. Lakini kwa kuwa unahisi neno kula ni superior than kuliwa, unajihisi mjanja, na siyo cheap. Wewe pia ni cheap aisee!

Mwanamke ametoka kwao kaenda kukaa bar, anasubiri wanaume cheap, mwanaume cheap unafika unanunua Smirnoff, afu unaenda kulipia lodge mnakulana, nani cheap kati yako na huyo mwanamke?

Dhana ya 'cheapness' inakuja kutokana na socialization na kwamba women are historically and socially disadvantaged but in normal circumstances wao nao kama binadamu wako kwenye mawindo kama tu wanaume walivyo kwenye mawindo, sema mfumo wa jamii ndo unawazingua. So ikitokea amepatikana cheap wake anakukula kimasihara afu wewe naye unakuja kupotosha kuwa umekula kimasihara, wakati wewe ndo umeliwa kimasihara! Eti wewe unajiona uko 'dear' afu yeye yuko 'cheap', hapana!

Mwisho kabisa hakuna mwanamke cheap bila mwanaume cheap. Tusitumie misamiati ya maneno kuwabagaza, huku sisi tukijikweza eti kisa neno "kula na kuliwa" ni kulana tu!

Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
mwaka juzi hali ilikuwa tete sana hapa Nagasaki
 
Sasa hiyo ndo inaitwa "nature" ndio iko hivyo, na tukitaka kua tofauti na "nature" there must something to pay.
Maswala ya haki sawa kati ya mwanamke na mwanaume badala ya kuleta amani katika maisha ndio kwanza yameleta changamoto zaidi.
Ok nimekuelewa. But in reality hichi kinachofanyika Sasa hivi ndio social constructed including usawa na ndoa ya mke mmoja.
Naturally mwanamke ana aibu kwa mwanaume, ana utii kwa mwanaume, ana amini ulinzi kwa mwanaume.
Sema jamii ya Sasa inatumia nguvu nyingi Sana kuleta usawa ikiwemo kuwafanya watoto wa kiume kuwa mashoga. Sorry nimeenda nje ya mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wakristo tunaamini mambo kati ya mwanamke na mwanaume ni nature kutoka kwa Mungu, kama vile Mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke ila mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume.
1Wakointho 11:3-15
3 Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.
4 Kila mwanamume, asalipo, au anapohutubu, naye amefunikwa kichwa, yuaaibisha kichwa chake.
5 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.
6 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
7 Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.
8 Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume.
9 Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.
10 Kwa hiyo imempasa mwanamke awe na dalili ya kumilikiwa kichwani, kwa ajili ya malaika.
11 Walakini si mwanamke pasipo mwanamume, wala mwanamume pasipo mwanamke, katika Bwana.
12 Maana kama mwanamke alitoka katika mwanamume, vile vile mwanamume naye huzaliwa na mwanamke; na vitu vyote asili yake hutoka kwa Mungu. Hukumuni ninyi wenyewe katika nafsi zenu.
13 Je! Inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunikwa kichwa?
14 Je! Hayo maumbile yenyewe hayawafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake?
15 Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni fahari kwake. Kwa sababu amepewa zile nywele ndefu ili ziwe badala ya mavazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi aibu siyo naturally, haumbwi nayo, hazaliwi nayo! Aibu kwa mwanamke anakutana nayo wakati wa malezi na makuzi!
Ule ushupavu wa mwanaume (masculinity) hazaliwi nao, anakutana nao wakt wa makuzi na malezi!

Ndiyo maana jambo fulani likitokea me akalia, ataambiw unalia kama mwanmke, ukichecheka kicheko fulani, utaambiwa unachekaj kama mwanamke hivyo! Kama naturally kingekuwepo kicheko cha mwanamke isingewezeka mwanaume akicheke!

Ukiona jambo limefanyika na jinsia nyingine, ujue hiyo siyo nature! Nature huwa haibadiliki! Kama mwanadamu anatokana na muunganiko wa mbegu za kike na za kiume, lazima zipatikane hizo mbegu ndo apatikane, iwe maabara au sexual intercourse! Hii ndiyo nature!

Hilo la gay and lesbian, linatokana na ukweli kwamba " Individuals create the society but the society shapes individuals"

Na hivyo these are not things of nature but society moral codes! Lakini pia ubaya wa jambo unatoka katika maandiko matakatifu kwamba gay and lesbian ni chukizo kwa Mungu! Kwamba na kila mwanamke na awe na mme wake, na kila mwanaume na awe na mke wake! Kuepuka Sodoma! Na kulinda taratibu zilizowekwa na Jamii, ili kuleta umoja na mshikamano!



Sent using Jamii Forums mobile app
Mengi uliyoyaandika hapa kwenye hii comment yako sio sahihi. Mfano masculinity ya mwanamme haitokani na makuzi yake, it is naturally there that a man has stronger muscles (musculinity) than a woman. Ila abnormalities huwa zipo pia hata kwenye naturally created things ambapo wanawake kadhaa wanaweza kuonekana wako na strong mascle kama/kuliko wanaume. Ni kama ilivyo kwa ndevu, strong voice, nk.

Hivyo, umedanganya unavyosema "Ukiona jambo limefanyika na jinsia nyingine, ujue hiyo siyo nature! Nature huwa haibadiliki!"

Nature ina anomalies nyingi tu. Watu waume wanazaliwa wana matiti makubwa kuzidi wanawake. Watu wanazaliwa wana jinsia mbili tofauti. Kwa asili (nature) kutokana na hormones/genes wanaume ndiyo wanaota ndevu na kuwa na sauti nzito lakini haya yote utokea kwa baadhi ya wanawake. Hii yote ni kuwa hata nature inakosea na hivyo kukinzana na mambo mengi uliyoyaandika kwenye comment yako.
 
Back
Top Bottom