Shayu
Platinum Member
- May 24, 2011
- 608
- 1,653
Dhana ya maendeleo imelala kwa watu. Iko kwenye kuwekeza katika watu na kuwapa uwezo, imelala katika maarifa. Watu wakiendelea ( wakiwa na skills na knowledge za kutosha) ndizo zinazofanya waendelee. Kuendelea kuelekea wapi? Kwenye kujitegemea kwao au kwa maana nyingine ( To unleash their fullest pontential). Tunapopanda mmea wa waridi tunajua mwisho wake ni kutoa maua waridi kama haujafanikiwa kufika huko haujakamilika na vile vile kwa taifa mwisho wake ni kujitegemea kwake. Kujitegemea ni kufikia ukuaji wake wa mwisho. Watoto wa wanyama na binadamu huzaliwa na mwisho wa ukuaji wao ni kujitegemea. Vile vile kwa taifa ni hivyo hivyo.
Yaani kuwa na watu wenye skills za kutosha za kutufanya kutumia tunachozalisha kwa mikono yetu. Huo ndio unapaswa kuwa mwelekeo wetu kama taifa. Ni lazima na ni muhimu kuwekeza kwa watu ni lazima tuwe na strategy. Na mipango hii inawezekana kama tukiwa na watu royal na commited to the cause.
Development ya nchi huendana na ukuaji wa kiakili wa watu ni issue ya kujitambua pia, je watu wanajitambua? Je wana uwezo gani wa kuzalisha? Watu wakiwa na uwezo wa kuzalisha na kutengeneza vitu ambavyo tunatumia wenyewe tutakuwa tunapiga hatua.
Kuna issue ya uzalendo na utaifa inaingia hapa pia. Sasa hivi watu wetu wamegawanyika sana hawana malengo ya pamoja. Kila mtu anafuata njia yake no national goals. People are so selfish. Vyama vya siasa vina selfish agendas. Tunawezaje kwenda mbele kama taifa? Bila ya kuwa na umoja na bila ya kuwa na malengo ya kitaifa yanayo tuunganisha? Tumebaki kuwa na ushabiki na kushabikia watu. Hakuna vision. Hakuna solid national goals. Sitaki kutukana lakini na observe ujinga mwingi usio na maana. We are not rational anymore hatujui tunapoenda. Hakuna national goals. Kama ziko zipo vitabuni wananchi hawazijui hawajaunganishwa nazo.
Wanapaswa kuzijua na ku perfom their national duty. But haziko solid in their hearts. Mapenzi kwa taifa hili yaneshuka kwa kiwango cha ajabu ubinafsi umetamalaki. Umoja wa nchi umepungua. Ili tukue na tujitegemee tunapaswa kuzalisha.
Tunapaswa kuzalisha wenyewe vitu kama silaha, magari, vifaa vya hospitali, mabarabara yetu nk, hatuwezi kusema tunajitegemea kama asilimia 90% tunavyotumia hatujazalishi vinatoka nje. Pesa yote tunayopata tunatoa nje. Inayoingia ndani ni kidogo mno tutakuaje? We import more than we export. We do not work enough.
Bado ukuaji wetu wa kusuasua. Na kwahiyo tutaendelea kuwa soko la mataifa ya nje kwasababu hatuzalishi na hatuna ziada.
Hatuwezi kuongelea uchumi bila ya watu kuzalisha. Watu lazima wazalishe ili tuongelee uchumi, lakini pia ili tujitegemee. Ili tusimame kwa miguu yetu miwili.
Asilimia hamsini sasa hivi ya budget yetu inategemea misaada na mikopo hili ni tatizo. Hatuwezi kupinga wanapotuita sisi ni nchi maskini kwasababu hatuwezi kusimama kwa miguu yetu. Lakini tatizo hili sio kwamba halisuhulishiki, linaweza kutatuliwa. Linahitaji umoja wetu na utayari wetu. Tuna nguvu ya kulitatua. Lakini kwa huku kugawanyika kwetu na kwa kukosa malengo ya pamoja huenda ikawa ndoto.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Yaani kuwa na watu wenye skills za kutosha za kutufanya kutumia tunachozalisha kwa mikono yetu. Huo ndio unapaswa kuwa mwelekeo wetu kama taifa. Ni lazima na ni muhimu kuwekeza kwa watu ni lazima tuwe na strategy. Na mipango hii inawezekana kama tukiwa na watu royal na commited to the cause.
Development ya nchi huendana na ukuaji wa kiakili wa watu ni issue ya kujitambua pia, je watu wanajitambua? Je wana uwezo gani wa kuzalisha? Watu wakiwa na uwezo wa kuzalisha na kutengeneza vitu ambavyo tunatumia wenyewe tutakuwa tunapiga hatua.
Kuna issue ya uzalendo na utaifa inaingia hapa pia. Sasa hivi watu wetu wamegawanyika sana hawana malengo ya pamoja. Kila mtu anafuata njia yake no national goals. People are so selfish. Vyama vya siasa vina selfish agendas. Tunawezaje kwenda mbele kama taifa? Bila ya kuwa na umoja na bila ya kuwa na malengo ya kitaifa yanayo tuunganisha? Tumebaki kuwa na ushabiki na kushabikia watu. Hakuna vision. Hakuna solid national goals. Sitaki kutukana lakini na observe ujinga mwingi usio na maana. We are not rational anymore hatujui tunapoenda. Hakuna national goals. Kama ziko zipo vitabuni wananchi hawazijui hawajaunganishwa nazo.
Wanapaswa kuzijua na ku perfom their national duty. But haziko solid in their hearts. Mapenzi kwa taifa hili yaneshuka kwa kiwango cha ajabu ubinafsi umetamalaki. Umoja wa nchi umepungua. Ili tukue na tujitegemee tunapaswa kuzalisha.
Tunapaswa kuzalisha wenyewe vitu kama silaha, magari, vifaa vya hospitali, mabarabara yetu nk, hatuwezi kusema tunajitegemea kama asilimia 90% tunavyotumia hatujazalishi vinatoka nje. Pesa yote tunayopata tunatoa nje. Inayoingia ndani ni kidogo mno tutakuaje? We import more than we export. We do not work enough.
Bado ukuaji wetu wa kusuasua. Na kwahiyo tutaendelea kuwa soko la mataifa ya nje kwasababu hatuzalishi na hatuna ziada.
Hatuwezi kuongelea uchumi bila ya watu kuzalisha. Watu lazima wazalishe ili tuongelee uchumi, lakini pia ili tujitegemee. Ili tusimame kwa miguu yetu miwili.
Asilimia hamsini sasa hivi ya budget yetu inategemea misaada na mikopo hili ni tatizo. Hatuwezi kupinga wanapotuita sisi ni nchi maskini kwasababu hatuwezi kusimama kwa miguu yetu. Lakini tatizo hili sio kwamba halisuhulishiki, linaweza kutatuliwa. Linahitaji umoja wetu na utayari wetu. Tuna nguvu ya kulitatua. Lakini kwa huku kugawanyika kwetu na kwa kukosa malengo ya pamoja huenda ikawa ndoto.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app