Ndugu Mshana, kama kuna watu wanaotakiwa kuombewa, basi, ni viongozi wetu wote tukuanzia na Rais wetu JPM. Watu hawa wana mzigo mkubwa na kazi yao ni ngumu na yenye hatari kubwa kwamba kwa ulinzi wa binadamu hawawezi kuwa salama bila Bwana Yesu kristo mwenyewe kuwalinda. Tenga alau saa moja ktk kata saa 24 kuwaombea. Ni watumishi wapakwa mafuta wa BWANA pia kama ilivyo wachungaji, mapadre, masheikh.