Dhana ya kuombewa

Labda tumuombee afe mapema hakuna namna ,na asidhani yuko huru kutulazimisha tumuombee ahaaa sio kwa kiwango hicho
 
Mtaji Kwa VIONGOZI wetu wa kisiasa karibu ulimwenguni kote.....( hasa wale wenye imani ya KATOLIKI) wengi wao hutumia kanisa kama jukwaa na waumini kama wapiga Kura.

Hi kauli ya NIOMBEENI ni kauli inayosimama kisiasa zaidi kuliko dhamira na nia ya kweli toka moyoni..
 
 

 
Mshana,,unachanganya kati ya natural and super natural life,,,,,lengo la sala ni kumuunganisha mtu na Mungu, lengo la sala sio kumbadili maskini awe tajiri!,japo inawezekana,,,,haimaanishi mwenye mahitaji yote ya kimwili automatically mbingu ni yake,ndiyo maana kuna maskini wa mwili na maskini wa roho,,,,,,mwenye yote hayo uliyotaja anaweza kuwa very poor kiroho hivyo kuhitaji Sala huenda kuliko hata maskini wa mali unayedhani ndiye wa kuombewa, labda ungeandika hivi,,,,,,,,,,,,,,pamoja na kumuombea kiongozi pia viongozi wa dini waendelee kumshauri,kwani mara kadhaa unaona kabisa hapa hakupaswa kufanya hivi
 
 
Tuyaombee makinia yasiwe mada badala yake tuombee almasi dhahabu nk vinavyobebwa direct daily toka machimbo

Post sent using JamiiForums mobile app
 

......Lakini mimi nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi. (mathayo 5: 43&44)
 
Mnaomba weeee...kesho tu wakati mnangojea majibu ya maombi yenu kwa Mungu juu ya aliyeomba kuombewa mara mliyekuwa mnamwombea anajitokeza hadharani anafoka..."mimi sijaribiwi", "...mtu yeyote asiyeungana nami katika vita hii ya kiuchumi lazima aondolewe", "... kamanda...kwa nini usiwapige hao wanaokukwamisha..."
Halafu anamalizia kwa kusema; "msema kweli ni mupenzi wa mungu"
 
 
Jamiiforum ina watuuuuu!! Raha sn
 
Ndiyo maana Ukristo ni dini tofauti. Ukristo unafundisha kumbariki anayekulani, kumpenda adui, kumwombea unayemwona anatenda dhambi. Ila maombi ya fisadi ni kutubu tu. Yaani aombe Mungu amsamehe na amwondoe kwenye ufisadi. Hspaswi kuudanganya moyo wake.
 
watanzania wenzangu, niwasihi na niwaombe mniombee sana..... Soma kwa rafudhi ya magufur
 
Baada ya maneno hayo Tundu Lissu anapigwa risasi za kutosha. Kweli hamna uovu ambao hauchi alama za mhusika
 
Hivi tukiwa tunamuombea atavua zile hirizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…