Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 242
- 431
Binafsi nadhani hii dhana ipo Afrika peke yake.
Sidhani kama mataifa ya Magharibi yalitumia hii dhana ili kukuza viwanda vyao,walianza kwa utafiti na ubunifu na sio kukaririshwa masomo darasani.
Cha ajabu hawa walimu wa Sayansi;
*Wakiona mwanafunzi anawadadisi au kuwauliza maswali mengi,atakiona cha mtema kuni
*Wakiona mwanafunzi anashindwa kuelewa wanachoeleza darasani,watamshauri ameze au akariri kitu kama kilivyo
*Hawaijui Sayansi kiundani,wengi wanachojua Ni kupata concept ya mada husika kwa juujuu na Kisha wanameza calculation zinavofanyika.
*Wanaiba mitihani kufaulisha wanafunzi.Hii inaonesha wana udhaifu kwenye kufundisha.
*Wanaamini elimu Ni mateso,wanashauri wanafunzi wasome kwa kukesha usiku darasani ili kufaulu mitihani
*Wanasifia madivisheni one kuliko ujuzi wa kiuvumbuzi wa mwanafinzi
Ishu ya viwanda Ni kaz kubwa na inahtaj uwekezaji
Sidhani kama mataifa ya Magharibi yalitumia hii dhana ili kukuza viwanda vyao,walianza kwa utafiti na ubunifu na sio kukaririshwa masomo darasani.
Cha ajabu hawa walimu wa Sayansi;
*Wakiona mwanafunzi anawadadisi au kuwauliza maswali mengi,atakiona cha mtema kuni
*Wakiona mwanafunzi anashindwa kuelewa wanachoeleza darasani,watamshauri ameze au akariri kitu kama kilivyo
*Hawaijui Sayansi kiundani,wengi wanachojua Ni kupata concept ya mada husika kwa juujuu na Kisha wanameza calculation zinavofanyika.
*Wanaiba mitihani kufaulisha wanafunzi.Hii inaonesha wana udhaifu kwenye kufundisha.
*Wanaamini elimu Ni mateso,wanashauri wanafunzi wasome kwa kukesha usiku darasani ili kufaulu mitihani
*Wanasifia madivisheni one kuliko ujuzi wa kiuvumbuzi wa mwanafinzi
Ishu ya viwanda Ni kaz kubwa na inahtaj uwekezaji